MADAKTARI MTUSAIDIE HAPA

MADAKTARI MTUSAIDIE HAPA

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Madaktari njooni mtusaidie hapa.

Kipindi ambacho Jacob Zuma alikuwa akigombea urais wa Afrika Kusini, kuna watu walimuuliza kuhusu afya yake, yaani ni kwamba alikuwa akifanya mapenzi na muathirika wa UKIMWI.

Sasa kwenye majibu yake alijibu kwamba: “Ni kweli nilikuwa nafanya mapenzi na muathirika, ila kila nilipokuwa namaliza nilikuwa naoga maji ya moto.”

Naomba niulize hapa nyie madaktari, kuoga maji ya moto baada ya kufanya mapenzi na muathirika husaidia nini mpaka na wewe usiambukizwe? Kwa nini yeye hakuambukizwa kwa sababu ya maji ya moto?
1686238686874.png


Tunawasikiliza.8
 
Madaktari njooni mtusaidie hapa.

Kipindi ambacho Jacob Zuma alikuwa akigombea urais wa Afrika Kusini, kuna watu walimuuliza kuhusu afya yake, yaani ni kwamba alikuwa akifanya mapenzi na muathirika wa UKIMWI.

Sasa kwenye majibu yake alijibu kwamba: “Ni kweli nilikuwa nafanya mapenzi na muathirika, ila kila nilipokuwa namaliza nilikuwa naoga maji ya moto.”

Naomba niulize hapa nyie madaktari, kuoga maji ya moto baada ya kufanya mapenzi na muathirika husaidia nini mpaka na wewe usiambukizwe? Kwa nini yeye hakuambukizwa kwa sababu ya maji ya moto?
View attachment 2650274

Tunawasikiliza.8
Inaitwa Jacob Zuma method
 
Madaktari njooni mtusaidie hapa.

Kipindi ambacho Jacob Zuma alikuwa akigombea urais wa Afrika Kusini, kuna watu walimuuliza kuhusu afya yake, yaani ni kwamba alikuwa akifanya mapenzi na muathirika wa UKIMWI.

Sasa kwenye majibu yake alijibu kwamba: “Ni kweli nilikuwa nafanya mapenzi na muathirika, ila kila nilipokuwa namaliza nilikuwa naoga maji ya moto.”

Naomba niulize hapa nyie madaktari, kuoga maji ya moto baada ya kufanya mapenzi na muathirika husaidia nini mpaka na wewe usiambukizwe? Kwa nini yeye hakuambukizwa kwa sababu ya maji ya moto?
View attachment 2650274

Tunawasikiliza.8
Maji ya moto huuwa virusi.
 
Achana na maji ya moto utaungua, we tumia sanitaiza tu.
 
Hakuna uhusiano kuoga maji ya moto na kupata maambukizi ya virusi vya ukimwi,..ili mtu aweze kuambuiza virusi kwa mwingine wakati wa tendo la ngono,inategemea;
1.Kiwango cha virusi kwa mhusika(number of viral load)..kadiri virus inavyokua kubwa,ndio anakua hatari zaidi kuambukiza.
2.Misuguano+Michubuko wakati wa tendo,..michubuko ndio entry point ya virus
3.Receptors for viral attachment...mambo ya kitabibu zaid.
Kifupi ukimwi upo na unaua,ni vyema kuchukua hatua ya kujinda kwa;
1.Kua na mpenz mmoja mwaminifu aliyepima.
2.Tumia kondom kwa usahihi kwa kila tendo.
3.Kuacha ngono kabisa.
 
Hakuna uhusiano wowote na hayo maelezo ya mheshimiwa mstaafu
 
Zamani sindano zilichemshwa kuua virusi,Sasa kama mr Z yeye aliamua kuufukiza mkuyenge,baada ya kula mbusu inawezekana njia yake ilisaidia.
 
Alitumia sabuni kuosha uume na sabuni Huwa na chemical ambayo huyeyusha mafuta kwenye kirusi ilii kisiwezw kujiahika kwenye seli ,kwahyo kimsingi alizuia kitu kinaitwa viral - cell attachment

Siku zote ukishakojoa wahi faste kaoshe uume na sabuni usiishie kupukuta na kitambaa tu ,ukishamwaga chomoka faster katafute maji na sabuni
 
Back
Top Bottom