madaktari muhimbili WACHAFU

Harafu wanaongoza kwa kutoa siri za wagonjwa bar . Wapo kaunta Utawasikia usimuone vile yule demu usimuone vile mzuri alikuja hospital ana ukurutu kwenye mapaja. Mara utawasikia KIBONGE ana ngoma nimempa leo ARV

Ati KIBONGE? Kwi!kwi!
 

Na hao ni madaktari wanafunzi wa MMed, ambao hushinda wodini kwa saa 18 plus kila siku wakitibu na kupiga shule. Muda hawana kwa kweli, nyie laumuni tu.
 

Kumbe ndo maana una wivu kwa vile wenzio wanapewa bure, wewe unanunua.
Na dhana ya kuwa madaktari ndo walevi, wkt ht hawazid 5000 nchini, hv hizo bar zote huwa anajaza nani?
We kweli ulifeli PCB, ukashindwa timiza ndoto zako, una uchungu mkali na wana taaluma hiyo.
Kuhusu umeshaambiwa hao jamaa wanakuwa wodini kwa 18-24 hrs, unadhani akifungua hayo maji, na akatoka, hatakuta yameover flow?
Na asipofungua, maji yenyewe ya mgao, si anaweza kutooga wk nzima?
 

Ni pesa zako na familia yako, pesa zenyewe chafu, za wizi na rushwa.
Daktari anabaki na pesa yake ndogo, safi, na heshima yake, akitoa huduma kwa umma. Pia anabaki na elimu yake na uelewa mpana kabisa, na amani ya nafsi.
 
Suala hapa si ubize wa madaktari,suala ni afya ya mtu mwenyewe.Haiwezekani ndani ya wiki nzima wanashindwa kujimobilize na kujifanyia usafi ikiwemo kujizibulia vyoo.Suala hapa ni huo uwajibikaji wa dhati na wala si vinginevyo.Hili suala lina aina ya uzembe,kama huwezi kujijali mazingira unayoishi,utamhudumiaje mgonjwa aliyeko wodini??!Doctors use your humanly possible means to keep ur environment healthy and safe bwana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…