Harafu wanaongoza kwa kutoa siri za wagonjwa bar . Wapo kaunta Utawasikia usimuone vile yule demu usimuone vile mzuri alikuja hospital ana ukurutu kwenye mapaja. Mara utawasikia KIBONGE ana ngoma nimempa leo ARV
Jamani msikurupuke. Hiizo flats ni za NHC. Zimepangishwa kwa Muhimbili National Hospital ambayo nayo imepangisha madaktari wanaosomea degree ya pili ya udaktari bingwa. Miaka nenda rudi, wamiliki (NHC), MNH, pamoja na wahusika wa maji taka (DAWASCO) wameshindwa kutatua shida ya mfumo wa maji safi na taka. Sasa nyie mnataka hao madaktari wazibue na kujenga mfumo wa taka kwa mikono yao? Kumbuka, wanaoishi kwenye hizo flats hupangishwa kwa muda usiozidi miaka mitatu tu na kupangishwa watu wengine tena.
hivi ukipanga nyumba kwa miaka mitatu ndio hao hao NHC wakufanyie usafi? Wakufungie maji ukifungulia? Wakuchimbie mashimo ya taka? HIVI MKIACHA KUNYWA BIA MOJA MOJA KILA MMOJA TU KWA WEEK 1. hamuwezi kujichangisha na kuchimbisha shimo la taka . Maana hata wanawake hamuhongi mnawapata bure kwa kupitia u dokta wenu
Duh nimecheka sana kweli ma dokta wa sasa vilaza. Sasa dokta SLAA ameingiaje hapo kwenye uchafu wenu? Kuna mwingine ndio hana upeo kabisa bado ana idea za kizamani anadhani watu wote wenye ni lazima wawe madaktari. Lets mimi nilienda kusomea mambo ya acounts au tax. Sasa hivi nafanyakazi BOT au nipo supervisor MIZANI KIBAHA. huo mshiko wangu hunipati hata robo utaishia kuniomba bia tu bar. Na siku nikuguliwa nikakupigia simu utakuja unakimbia kama kuku wa kienyeji kuja kunitibu upate hela ya kula