Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je genital warts yaani kwa jina jingine sunzua..yaan vipele vigumu sehemu ya siri kwenye nywele vinamadhara kiasi gani katika afya ya uzazi?....ningependa kupata experience kabla sijaingia kwenye ndoa
Kwa hiyo unahofia hilo ndiyo maana hujaingia kwenye ndoa mpaka sasa? Nani kakuambia lazima upate?
Acha uoga huwezi kushindwa kuingia kwenye ndoa kwa sababu kama hii,...
Noo...ndugu zangu...nina warts zipatazo kama tano sehemu ya siri kwenye nywele...hivyo nilitaka kujua madhara yake katika afya ya uzazi..ninaamini wana ndoa wengi washapata semina mbalimbali kuhusiana afya ya uzazi..hususani unapohisi vitu vya tofauti katika via vya uzazi
mh naona unataka msaada wa wanandoa tu na si wataalamu au watu wenye ujuzi wa afya .
pole sana mke wangu alikuwa na tatizo hilo kabla ya ndoa nikampeleka kwa daktari flani arusha akampa dawa ambayo ilimaliza tatizo kwa kipindi kifupi sana.....naweza kukuelekezaje genital warts yaani kwa jina jingine sunzua, yaani vipele vigumu sehemu ya siri kwenye nywele vinamadhara kiasi gani katika afya ya uzazi?.
Ningependa kupata experience kabla sijaingia kwenye ndoa.
pole sana mke wangu alikuwa na tatizo hilo kabla ya ndoa nikampeleka kwa daktari flani arusha akampa dawa ambayo ilimaliza tatizo kwa kipindi kifupi sana.....naweza kukuelekeza

Hivo vipele havina madhara yoyote katika afya ya uzazi.
Genital warts inasababishwa na maambukizi ya virusi(Human Papilloma Virus)ambaye unaweza kupata kwa direct au indirect contact with your skin. Virusi hawa wanazalishwa kwenye layer ya juu ya ngozi inayoitwa epidermis.Virusi hawa wanasababisha celi za layer ya ngozi kugawanyika na hatimae kujenga uvimbe.Ukipata virusi hawa mwili unajenga kinga dhihidi ya maambukizo ya baadae,yaani unakuwa nao mwilini.
Ugonjwa huu hauna dalili zaidi ya vipele/uvimbe kwenye ngozi wenye ukubwa wa 1-3 mm kwa upana.
View attachment 164307
Hujanieleza upoje mkuu,pigam picha huo upele uweke hapa...au uende hospitali upatiwe matibabu!Nashukuru sana kwa maelezo.....lakini huu muwasho mkali ninaoupata mapajana mpaka sehemu za siri unasababishwa na hizi warts au ni kitu kingine?
Hujanieleza upoje mkuu,pigam picha huo upele uweke hapa...au uende hospitali upatiwe matibabu!
Havikurudia tena had leo .....na dawa yenyewe ni cheap sana......take care maana vinaambukiza kwa skin contactOk...vp havijapata kurudia tena?..mimi nipo dar...ila nashukuru sana bro
Acha utani hiyo ni HPV infection so lazima uwe na muwasho sana na baadae utaanza kutokwa na uchafuHujanieleza upoje mkuu,pigam picha huo upele uweke hapa...au uende hospitali upatiwe matibabu!
Acha utani hiyo ni HPV infection so lazima uwe na muwasho sana na baadae utaanza kutokwa na uchafu
Acha utani hiyo ni HPV infection so lazima uwe na muwasho sana na baadae utaanza kutokwa na uchafu
Duh! Hii ngumu kumesa Dr mimi49! Mwee!
Kwanini ni ngumu nawe si kasema upo mapajani banaa....:thinking::thinking::thinking:
Mi mzima my dia na wewe unaendeleaje?Mmh! Kama ni wewe ungeuweka upaja wako hapo?
Haya bhana usije ukanichapa bure!
Btw. Umzima weye?