Habari wanabodi
Nimekuwa nikitokewa na jambo ambalo sijajua kama ni ugonjwa au la. Nikiwa nasafiri na basi na tukafikia kwenye vituo vya "kuchimba dawa", hata kama Nimebanwa na haja ndogo kwenye basi lakini tukishuka wengi kuelekea maliwatoni haja ndogo haitoki. Inabidi nisubiri nje watu waishe halafu ndo niingie peke yangu. This time inakuwa rahisi sana. Cha ajabu nikipata ulabu hata kama tupo wengi itakuja bila shida yoyote. Je, naumwa au ni hali tu inatokea?
Nimekuwa nikitokewa na jambo ambalo sijajua kama ni ugonjwa au la. Nikiwa nasafiri na basi na tukafikia kwenye vituo vya "kuchimba dawa", hata kama Nimebanwa na haja ndogo kwenye basi lakini tukishuka wengi kuelekea maliwatoni haja ndogo haitoki. Inabidi nisubiri nje watu waishe halafu ndo niingie peke yangu. This time inakuwa rahisi sana. Cha ajabu nikipata ulabu hata kama tupo wengi itakuja bila shida yoyote. Je, naumwa au ni hali tu inatokea?