Madaktari siku hizi wana aibu sana

donocean

Member
Joined
Jan 10, 2019
Posts
72
Reaction score
46
Hivi kwanini doctors now days wako na aibu sana. Unaweza enda hospital ukamwelezea labda nina kipele sehem za siri.

Lakini swali atakalo kuuliza ni kimeanza lini then kina usaha au hakina ukimjibu anakupa dawa.

Hawezi sema labda akione kikoje au ukimwambia umwonyeshe kilivyo atakuambia hizo ni reaction tu za mwili.
Kumbe ni njia tu ya kuepuka kukuonea soo.
 
Wanalipwa sh, ngapi mpaka waangalie uchafu wako na wewe kasomee udakitari uje urumbue usaha kwa mshahara wa dengu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
😁😁 kuna siku mzee mbaba nilichomoka xul bac nikajifanya kupitia hospital kibosho pale ili nipate cha kujitetea nikirudi xul ss pale hospital ya kibosho nikamkuta dokta ni sister ss nikamdanganya naugua pumbu erosion ah mzee mama sister akaniambia lala ktk kitanda hapo saula suruari ili akague 😀😀😀 kishingo upande nikachojoa suruali sister akakagua zakaria
 
Wewe ni wa kike? Kama ndivyo Kiufupi hujamvutia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua mtu mzima au kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…