Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Amewahi kunukuliwa na vyombo vya habari akiisagia kunguni ndoa hii.
Lakini leo amegeuka mshauri!
Lakini leo amegeuka mshauri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeeKichwa kichafu hicho huyo hela mbelembele hakuna kitu kingine yupo tayari hata kupakwa mafuta na Pdidy
Weeee!!! na je wale wanaokutana naye sabasaba wakoje?Na anaemfatilia nae anaakili timamu?
Mwijaku kichaa!!!Amewahi kunukuliwa na vyombo vya habari akiisagia kunguni ndoa hii.
Lakini leo amegeuka mshauri!
View attachment 3243324
HeheheKichwa kichafu hicho huyo hela mbelembele hakuna kitu kingine yupo tayari hata kupakwa mafuta na Pdidy
HeheheNa anaemfatilia nae anaakili timamu?
Kwani huyu ndo nani kwa nyie wenzetu mnaokaa daslam,, mana wengine tupo mbindwe huku tunafukuzana na ngiri..Amewahi kunukuliwa na vyombo vya habari akiisagia kunguni ndoa hii.
Lakini leo amegeuka mshauri!
View attachment 3243324
Wao wanasema DC wa insta sasa insta sijawahi kupajuaKwani huyu ndo nani kwa nyie wenzetu mnaokaa daslam,, mana wengine tupo mbindwe huku tunafukuzana na ngiri..
Mbona tayari lilishapita naye!Kichwa kichafu hicho huyo hela mbelembele hakuna kitu kingine yupo tayari hata kupakwa mafuta na Pdidy
Mbona hata wewe kwa Chadema tunakuona upo kama Mwijaku. Bora mkono uingie kinywani rafikiAmewahi kunukuliwa na vyombo vya habari akiisagia kunguni ndoa hii.
Lakini leo amegeuka mshauri!
View attachment 3243324