Usiache kufurahisha Watu. Ila Nje muda huu hapana. Nitakuwa natafuta ugomvi na mbwaDah ...
Ndo maana nataka niache kuchekesha watu
Nusura nimwue dear ...
Alcheka sana hafu alkua anakula
Dah ... Aisee
Kacheke nje basi ... Nipo hapa nje utankuta
No inabid niache ...Usiache kufurahisha Watu. Ila Nje muda huu hapana. Nitakuwa natafuta ugomvi na mbwa
Nimekuelewa. Kama ulijua huo ni udhaifu wako ni sahihi kuikwepa taaluma. Japo, bado mabinti wapo kila pande. Sioni kama kuna ulichokimbiaHapana huwa ni mazungumzo baada ya habari.
Wengine tuliona udaktari ni mtihani kwetu,sababu ya muingiliano na watoto wa kike.
Fani niliyonayo leo hii mpaka niwafate mimi ndio naonana nao.Nimekuelewa. Kama ulijua huo ni udhaifu wako ni sahihi kuikwepa taaluma. Japo, bado mabinti wapo kila pande. Sioni kama kuna ulichokimbia
We! Nilishapona. Hii kipenzi ya sasa haitakuwa na nguvu kama ya kule hosp. Ila mie mzimaYeah mtu kuumwa ni hali ya mwili kudhoofika na cell zake hudhoofisha mwili ila faraja hujenga imani na iman huipa ubongo na fikra mwanga wa kuone hata kesho yako inathamni kubata nafasi nyingine tena kwny maisha na mm niseme tu vepe kipenzi waonaje na hali[emoji175]
OK. Basi sawaFani niliyonayo leo hii mpaka niwafate mimi ndio naonana nao.
Tuko pamoja bibie !OK. Basi sawa
We! Nilishapona. Hii kipenzi ya sasa haitakuwa na nguvu kama ya kule hosp. Ila mie mzima
Usijali. NitakutafutaSawa ukiumwa tena u know where to find me right....
Kweli kabisaaNaunga mkono hoja.....ila me siwataki sababu moja tu....ukifika room unaambiwa bby vipimo vya ukimwi hivi hapa nyoosha kidole nikupime ..dooooh kwaaaakweeeeli wapite tu
Nazani umeelewaUnasema ?
Weeee usiniambieHahahhaha kashasha alishabadili I'd baaada ya kuunganishwa na mods
Tunaenesha ndoa kwa sheriaHahahaha kila kitu utakuwa unafungua kifungu cha sheriaa[emoji23][emoji23]
Kwamba we doctors tuko safi
Kwanini upendi tena?Mnoo jamani japo sipendi kudate daktari