Madaktari wa mifugo nisaidie kuhusu tatizo la ng'ombe

Madaktari wa mifugo nisaidie kuhusu tatizo la ng'ombe

Am not a vertellinary but
Hyo shida kanda ya ziwa umesumbua sana
& Suruhisho tulipata kwa kufanya research wenyewe
Tuna tibu kwa combination ya dawa mbili
Pen&sterip + Tylocin(tylovet).
Au pen & strep + otc (oxytetracycline)
Unachoma kwenye mbavu ya tatu chini kidogo usawa wa kwapa la mguu wa mbele!!!!
Namaanisha site ya mapafu ilipo
Dozi ni siku 3
Hyo shida itakua imekwisha labda kama atakuah amesha vuka stage sana
Lakini kwa hii mchanganyiko dawa ni nzurisana & iko poah
Note: usijaribu ,TUMIA
 
Am not a vertellinary but
Hyo shida kanda ya ziwa umesumbua sana
& Suruhisho tulipata kwa kufanya research wenyewe
Tuna tibu kwa combination ya dawa mbili
Pen&sterip + Tylocin(tylovet).
Au pen & strep + otc (oxytetracycline)
Unachoma kwenye mbavu ya tatu chini kidogo usawa wa kwapa la mguu wa mbele!!!!
Namaanisha site ya mapafu ilipo
Dozi ni siku 3
Hyo shida itakua imekwisha labda kama atakuah amesha vuka stage sana
Lakini kwa hii mchanganyiko dawa ni nzurisana & iko poah
Note: usijaribu ,TUMIA
Asante kionggozi. unachoma kiasi gani ie volume
 
Kutokana na maelezo yako Mkuu, Ng'ombe wako ana dalili ya minyoo ya kwenye mapafu na sio infection Katika mfumo wa hewa, kwahiyo kuchoma masindano ya Antibiotics haitokusaidia Kwa sababu utakuwa unatibu tu secondary infection ila kutibu tatizo

Tiba ya uhakika, tafuta Albendazole 10% mnyweshe kulingana na uzito wakeKwa awamu 3, Kila week mara 1, Yani mfano ukimpa Leo Alhamisi basi utarudia kumpa tena Alhamisi ya week ijayo na Alhamisi ya week ile inayokuja na tatizo lako litakuwa limeishia hapo

Atakuwa na minyoo ya kutosha Hadi kufkia hiyo hatua, kwahiyo mchome pia ivermectin injection kulingana na uzito wake pia, na hii utarudia baada ya week 2

Kumbuka kuwapa dawa za minyoo wanyama wako Kila baada ya miezi 3, uwape ya kunywesha na ivermectin ya kuchoma na utaondokana na tatizo la minyoo Katika mifugo yako

NB. Kama mnyama wako ana mimba sema kabla hujampa hizo dawa ili ujue njia sahihi ya kumtibia bila kuharibu Mimba
 
20220208_081512.jpg
 
Kutokana na maelezo yako Mkuu, Ng'ombe wako ana dalili ya minyoo ya kwenye mapafu na sio infection Katika mfumo wa hewa, kwahiyo kuchoma masindano ya Antibiotics haitokusaidia Kwa sababu utakuwa unatibu tu secondary infection ila kutibu tatizo
Asante sana. Ubarikiwe mno.
 
Ngombe wangu anakohoa kwa muda mrefu sasa. Nilimtibu kwa penstrep àkawa Kama amepona. Sasa vimerudi.

Tena nywele za mgongoni zimesimama. Ni tatizo gani na matibabu yake Ni Nini.

Msaada tafadhali
Mkuu huyo ngo'mbe mchome ivomectin,utakuja kunishukuru
 
Kutokana na maelezo yako Mkuu, Ng'ombe wako ana dalili ya minyoo ya kwenye mapafu na sio infection Katika mfumo wa hewa, kwahiyo kuchoma masindano ya Antibiotics haitokusaidia Kwa sababu utakuwa unatibu tu secondary infection ila kutibu tatizo

Tiba ya uhakika, tafuta Albendazole 10% mnyweshe kulingana na uzito wakeKwa awamu 3, Kila week mara 1, Yani mfano ukimpa Leo Alhamisi basi utarudia kumpa tena Alhamisi ya week ijayo na Alhamisi ya week ile inayokuja na tatizo lako litakuwa limeishia hapo

Atakuwa na minyoo ya kutosha Hadi kufkia hiyo hatua, kwahiyo mchome pia ivermectin injection kulingana na uzito wake pia, na hii utarudia baada ya week 2

Kumbuka kuwapa dawa za minyoo wanyama wako Kila baada ya miezi 3, uwape ya kunywesha na ivermectin ya kuchoma na utaondokana na tatizo la minyoo Katika mifugo yako

NB. Kama mnyama wako ana mimba sema kabla hujampa hizo dawa ili ujue njia sahihi ya kumtibia bila kuharibu Mimba
Mkuu nakubaliana na wewe kabisa,hiyo ni dalili ya minyoo,hivyo anapaswa kutumia dawa ya minyoo,but sio albendazole Bali atumie ivermectin ambayo inachomwa chini ya ngozi,Mana inaonyesha minyoo wameathiri hadi ngozi,kwahiyo kwa matokeo ya haraka aachane na albendazole
 
Mkuu nakubaliana na wewe kabisa,hiyo ni dalili ya minyoo,hivyo anapaswa kutumia dawa ya minyoo,but sio albendazole Bali atumie ivermectin ambayo inachomwa chini ya ngozi,Mana inaonyesha minyoo wameathiri hadi ngozi,kwahiyo kwa matokeo ya haraka aachane na albendazole
Naheshimu mawazo yako Mkuu, ila unapaswa kujua kuwa hizo dawa zinauwa minyoo aina tofauti ndomana nikashauri atumie zote

Kwa Faida tu Mkuu Naomba nikujuze kuwa kuna aina/makundi ya aina nyingi za parasite, na Kila kundi flani la parasite linakufa Kwa aina flani ya dawa

Kwa lugha nyepesi kabisa unapaswa kutoa dawa za parasite kama hizo albendazole/Levamisole pamoja na ivermectin Kila baada ya miezi 3, maana unakuwa unatarget variety ya parasite internal and external

Na sio kwamba ukimpa ivermectin Haina haja ya albendazole au vice versa, Kama ilivo Kwa binadamu Kila aina Fulani ya minyoo inakuwa na dawa yake ila Kwakuwa Waga hatupimi ndio unaishia kupewa broad spectrum anthelmintic kama Albendazole
 
Back
Top Bottom