queeny
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 584
- 421
Habari ndugu zangu...
sijui labda ni mawazo yangu lkn nimegundua siku hizi kumekuwa na wimbi la hawa madaktari wanaojiita wa tiba mbadala.
hivi siku za nyuma walikua wapi? utasikia mara usile samaki, mara juice sio nzuri, na mengine mengi.
alafu sometimes dawa zao zinasound too good to be true.
hivi kweli wanafanya research za kutosha?
sijui mwenzangu unaonaje kuhusu hili...
sijui labda ni mawazo yangu lkn nimegundua siku hizi kumekuwa na wimbi la hawa madaktari wanaojiita wa tiba mbadala.
hivi siku za nyuma walikua wapi? utasikia mara usile samaki, mara juice sio nzuri, na mengine mengi.
alafu sometimes dawa zao zinasound too good to be true.
hivi kweli wanafanya research za kutosha?
sijui mwenzangu unaonaje kuhusu hili...