Madaktari wanaumia google kusoma vipimo

Madaktari wanaumia google kusoma vipimo

King Muchachu

Member
Joined
Jun 8, 2023
Posts
6
Reaction score
7
Kunachangamoto sana kwa madaktari wa sasa, serikali inabidi waweke mpango vizuri kuhakikisha wanafuatiliwa, ili kujiridhisha na utendaji kazi wao.

Binafsi nimekuwa muhanga mara mbili kupitia mtoto wangu wa miaka miwili, aliandikiwa ameze paracetamol 500mg kutwa mara tatu, Daktari huyo amefanya hivyo mara mbili kwa nyakati tofauti huko katika hospitali moja [jina nimehifadhi] lakini ipo wilaya ya ilala.

Changamoto nyingine niliyoiona kwa madaktari hawa wapya kazini wanachangamoto ya kutafsiri vipimo kutoka maabara, hivyo wanatumia sana Google, sio jambo baya kutumia lakini kama hujui unacho kitafuta unaweza kumtajia mgonjwa diagnosis kubwa kuliko ule ugonjwa alio nao, ukazua taharuki.

Nivyema serikali ikasisitiza matumizi ya STG kwa madaktari haswa wa sasa ili kuboresha huduma.
 
Mkuu, hakuna watu wazuri wanao wajua watoto na wenye uzoefu kwenye tiba za watoto kama wale manesi wanao kaa kliniki za wamama waja wazito na watoto wadogo, sema sisi ngozi ngumu tunawadharau tu.
Kama ukishindwa kuwapeleka wanao pale basi nashauri wapeleke wanao kwa daktati bingwa wa watoto.
Hivyo ndivyo nimefanya mimi kwa watoto wangu wote wanane "8"
 
Kunachangamoto sana kwa madaktari wa sasa, serikali inabidi waweke mpango vizuri kuhakikisha wanafuatiliwa, ili kujiridhisha na utendaji kazi wao.

Binafsi nimekuwa muhanga mara mbili kupitia mtoto wangu wa miaka miwili, aliandikiwa ameze paracetamol 500mg kutwa mara tatu, Daktari huyo amefanya hivyo mara mbili kwa nyakati tofauti huko katika hospitali moja [jina nimehifadhi] lakini ipo wilaya ya ilala.

Changamoto nyingine niliyoiona kwa madaktari hawa wapya kazini wanachangamoto ya kutafsiri vipimo kutoka maabara, hivyo wanatumia sana Google, sio jambo baya kutumia lakini kama hujui unacho kitafuta unaweza kumtajia mgonjwa diagnosis kubwa kuliko ule ugonjwa alio nao, ukazua taharuki.

Nivyema serikali ikasisitiza matumizi ya STG kwa madaktari haswa wa sasa ili kuboresha huduma.
STG ndio nini???
 
Mkuu, hakuna watu wazuri wanao wajua watoto na wenye uzoefu kwenye tiba za watoto kama wale manesi wanao kaa kliniki za wamama waja wazito na watoto wadogo, sema sisi ngozi ngumu tunawadharau tu.
Kama ukishindwa kuwapeleka wanao pale basi nashauri wapeleke wanao kwa daktati bingwa wa watoto.
Hivyo ndivyo nimefanya mimi kwa watoto wangu wote wanane "8"
Mangi Mbona hao wanane kidogo. Mimi ninao 12 wanawake tofauti na nina miaka 33. I started planting seeds on fertile wombs since I was 15. Target yangu maishani ni kufikisha madogo 24.

Kataeni ndoa nyie!
 
Kunachangamoto sana kwa madaktari wa sasa, serikali inabidi waweke mpango vizuri kuhakikisha wanafuatiliwa, ili kujiridhisha na utendaji kazi wao.

Binafsi nimekuwa muhanga mara mbili kupitia mtoto wangu wa miaka miwili, aliandikiwa ameze paracetamol 500mg kutwa mara tatu, Daktari huyo amefanya hivyo mara mbili kwa nyakati tofauti huko katika hospitali moja [jina nimehifadhi] lakini ipo wilaya ya ilala.

Changamoto nyingine niliyoiona kwa madaktari hawa wapya kazini wanachangamoto ya kutafsiri vipimo kutoka maabara, hivyo wanatumia sana Google, sio jambo baya kutumia lakini kama hujui unacho kitafuta unaweza kumtajia mgonjwa diagnosis kubwa kuliko ule ugonjwa alio nao, ukazua taharuki.

Nivyema serikali ikasisitiza matumizi ya STG kwa madaktari haswa wa sasa ili kuboresha huduma.
Reference hiyo mkuu... Hutaki tutumie reference
 
Mkuu, hakuna watu wazuri wanao wajua watoto na wenye uzoefu kwenye tiba za watoto kama wale manesi wanao kaa kliniki za wamama waja wazito na watoto wadogo, sema sisi ngozi ngumu tunawadharau tu.
Kama ukishindwa kuwapeleka wanao pale basi nashauri wapeleke wanao kwa daktati bingwa wa watoto.
Hivyo ndivyo nimefanya mimi kwa watoto wangu wote wanane "8"
Watoto nane wewe ni panya kuzaa gani huko kama panya buku
 
Kunachangamoto sana kwa madaktari wa sasa, serikali inabidi waweke mpango vizuri kuhakikisha wanafuatiliwa, ili kujiridhisha na utendaji kazi wao.

Binafsi nimekuwa muhanga mara mbili kupitia mtoto wangu wa miaka miwili, aliandikiwa ameze paracetamol 500mg kutwa mara tatu, Daktari huyo amefanya hivyo mara mbili kwa nyakati tofauti huko katika hospitali moja [jina nimehifadhi] lakini ipo wilaya ya ilala.

Changamoto nyingine niliyoiona kwa madaktari hawa wapya kazini wanachangamoto ya kutafsiri vipimo kutoka maabara, hivyo wanatumia sana Google, sio jambo baya kutumia lakini kama hujui unacho kitafuta unaweza kumtajia mgonjwa diagnosis kubwa kuliko ule ugonjwa alio nao, ukazua taharuki.

Nivyema serikali ikasisitiza matumizi ya STG kwa madaktari haswa wa sasa ili kuboresha huduma.
•Katika Hospitali moja kubwa ya Rufaa mkoa ‘X’ tulipeleka mgonjwa. Daktari ’alichora'mkeka wa vipimo unaofika 480K (vipimo tu), na mpaka hapo 100k ilikuwa imetembea.

• Katika Hospitali ’X’. Dawa kadhaa zilipendekezwa, (huruhusiwi kulala na mgonjwa maeneo yale). Kesho yake, drop la dawa lilikuwa tupu, na mgonjwa alipewa dawa chache tu, walipita nazo.
Ndugu tulipoenda kumuona Dkt. alitoa mkeka mwingine wa dawa za kutumia mgonjwa.

“Hivi Dkt huwezi kupunguza baadhi ya vipimo ili vibaki vya vile umuhimu sana, mgonjwa aendelee kutibiwa wakati sisi tukiendelea kutafuta hela ya vipimo vitakavyobaki?”, “Haina shaka”.

Alipunguza punguza , mkeka ulisoma 180K

Vipimo vilitoka, vya 180K eti dkt anakupa ripoti ya mdomoni tu! Ninauhakika gani kama kweli alipimwa? “Naomba ripoti ya maandinshi” 'nenda-huku-nenda-kule'zikawa nyingi. Mwishoni nilifanikiwa.
Kesho yake, “huyu mgonjwa hatuwezi kumsaidia hapa, mpelekeni Hospitali ‘Y’...”. Lo
 
Mkuu, hakuna watu wazuri wanao wajua watoto na wenye uzoefu kwenye tiba za watoto kama wale manesi wanao kaa kliniki za wamama waja wazito na watoto wadogo, sema sisi ngozi ngumu tunawadharau tu.
Kama ukishindwa kuwapeleka wanao pale basi nashauri wapeleke wanao kwa daktati bingwa wa watoto.
Hivyo ndivyo nimefanya mimi kwa watoto wangu wote wanane "8"
Dikteta JPM alikuwa anafukuza kazi watu kama hao manesi kwa kudai wana vyeti feki.
 
Mangi Mbona hao wanane kidogo. Mimi ninao 12 wanawake tofauti na nina miaka 33. I started planting seeds on fertile wombs since I was 15. Target yangu maishani ni kufikisha madogo 24.

Kataeni

Dikteta JPM alikuwa anafukuza kazi watu kama hao manesi kwa kudai wana vyeti feki.
Wakati mange kimambi anamsulubisha mama samia ulikuwa wapi kijana unakuja kumtukana magufuri.....mbwa koko
 
Back
Top Bottom