Habarini ndugu zangu,
Bila kupoteza muda ngoja niende kwa point;
Nilikua najiskia hali ya mvurugo wa tumbo na kichefuchefu mimi ni ME umri ni 28.
Nimeenda kwenye ka dispensary flani hapa kijijini kwetu kupima Dr akasema nicheki mkojo na damu.
Mazingira ya huyu Daktari hayajaniridhisha sana coz mezani kwake kulikua na pakti ya sigara na kiukweli anaonekana alikua kashapiga mvinyo.
Nimempa cheti baada ya vipimo vya maabara ila maelezo aliyonipa nikaona huyu ataniua nikachukua cheti nikamwambia ntarudi baadae.
Naomba ninukuu vilivyoandikwa then mnishauri kabla sijaenda hospital nyingine hapa sina imani napo
Urinalysis
sp.grv- 1.000
ph -6.0
protein- neg
glucose- neg
ketones-neg
blood- neg
bilirum - neg
urobilinogen - normary
sidement - pils cells 20-25/hpf
Anasema aniwekee drip 6 za cypro hiyo itamaliza matatizo yote coz aliniuliza kama nilishawahi tumia dawa za typhod nikamjibu ndio akasema basi vidonge havinisaidii hivyo aniwekee drip sita za cipro then ataniongezea na dawa nyingine za kusafisha mkojo.
Haya wataalam hebu tieni neno hapo
Bila kupoteza muda ngoja niende kwa point;
Nilikua najiskia hali ya mvurugo wa tumbo na kichefuchefu mimi ni ME umri ni 28.
Nimeenda kwenye ka dispensary flani hapa kijijini kwetu kupima Dr akasema nicheki mkojo na damu.
Mazingira ya huyu Daktari hayajaniridhisha sana coz mezani kwake kulikua na pakti ya sigara na kiukweli anaonekana alikua kashapiga mvinyo.
Nimempa cheti baada ya vipimo vya maabara ila maelezo aliyonipa nikaona huyu ataniua nikachukua cheti nikamwambia ntarudi baadae.
Naomba ninukuu vilivyoandikwa then mnishauri kabla sijaenda hospital nyingine hapa sina imani napo
Urinalysis
sp.grv- 1.000
ph -6.0
protein- neg
glucose- neg
ketones-neg
blood- neg
bilirum - neg
urobilinogen - normary
sidement - pils cells 20-25/hpf
Anasema aniwekee drip 6 za cypro hiyo itamaliza matatizo yote coz aliniuliza kama nilishawahi tumia dawa za typhod nikamjibu ndio akasema basi vidonge havinisaidii hivyo aniwekee drip sita za cipro then ataniongezea na dawa nyingine za kusafisha mkojo.
Haya wataalam hebu tieni neno hapo