chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Katika watu nawachukia ni madalali hata ukiwa na mali yako wanataka kupandisha kiasi kikubwa kupelekea hata kukosa wateja kwa wakati.
Tuje kwenye suala la nyumba za kupangisha:
Madalali wengi ni watu wa ajabu yani sehemu inaweza kuwa biashara hakuna ilo eneo, we ukaamua kufanya biashara na watu wakazidi kuvutiwa mwisho wa siku unasikia kodi umepandishiwa.
Ukiuliza chanzo ni madalali.
Madalali hawana akili ya kujua biashara za watu au mali za watu, wao wanachokiangalia nani kafika faida wanayotaka kumzidi mmiliki.
Tuje kwenye suala la nyumba za kupangisha:
Madalali wengi ni watu wa ajabu yani sehemu inaweza kuwa biashara hakuna ilo eneo, we ukaamua kufanya biashara na watu wakazidi kuvutiwa mwisho wa siku unasikia kodi umepandishiwa.
Ukiuliza chanzo ni madalali.
Madalali hawana akili ya kujua biashara za watu au mali za watu, wao wanachokiangalia nani kafika faida wanayotaka kumzidi mmiliki.