Wameizidi Nguvu Serikali..? how come?
Biashara zote zinasajiliwa, na zina kanuni zake.. wao ndio wamebaki kututangazia magari yanauzwa kwa lugha za kuuza miwa na bado hawalipi hata mia serikalini...
Bado bei za viwanja wanauza mara tatu hadi nne na nyumba vile vile kama tupo New York
wengine wanafanya siasa uchwara wanachekewa na kila mtu kama vile wanachekesha.. as a matter of fact wanaiba na wanaibia nchi ...
wasajiliwe, wapewe leseni, walipe kodi , wapewe kanuni na miongozo ya kazi.