Madalali TRA ni wafanyakazi wa TRA au vipi?

Madalali TRA ni wafanyakazi wa TRA au vipi?

Azniv Protingas

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2020
Posts
335
Reaction score
554
Nimeenda ofisi za TRA kufuatilia leseni ya udereva lakini nilivyofika nimeshtuka kupokelewa na mtu kwenye korido ya ofisi ananiuliza unahitaji nini?

Kwa upole nikamjibu nimekuja kukata leseni ya udereva, akaniambia njoo nikusaidie.

Tukaingia ndani akaniambia una tin number nikamjibu ninayo, nikampa akaandika akaenda dirishani pale akaja na control number akaniambia nilipie kwa benki au kwenye simu kama ninayo, ikabidi nilipie kwenye simu sababu alishaanza kuniambia twende nikupeleke bank hapo chini ukalipie nikamwambia sina cash.

Wakati nalipia akaniambia utaisubiria leseni yako au nikupitishe chap uipate, nikamwambia sina haraka nayo nitaisubiria. Ikabidi aniulize huna hata pesa kidogo unipe nikamwambia sina, akaniambia basi lipia utanikuta nje hapo, tukaachana hapo.

Sasa maswali yangu ni kuwa;
1. Hawa madalali ni wafanyakazi wa TRA au vipi, kama ni wafanyakazi wa TRA ina maana hawana kazi ya kufanya hadi waanze kukaa kwenye korido kusubiri watu wanaohitaji huduma?

2. Kama si wafanyakazi wa TRA inakuwaje warande kwenye ofisi ya umma kila siku na hali ya kuwa kuna viongozi pale kwenye ofisi za TRA. Kwa nini wasiwapige marufuku kukanyaga pale?
 
Nimeenda ofisi za TRA kufuatilia leseni ya udereva lakini nilivyofika nimeshtuka kupokelewa na mtu kwenye korido ya ofisi ananiuliza unahitaji nini?

Kwa upole nikamjibu nimekuja kukata leseni ya udereva, akaniambia njoo nikusaidie.

Tukaingia ndani akaniambia una tin number nikamjibu ninayo, nikampa akaandika akaenda dirishani pale akaja na control number akaniambia nilipie kwa benki au kwenye simu kama ninayo, ikabidi nilipie kwenye simu sababu alishaanza kuniambia twende nikupeleke bank hapo chini ukalipie nikamwambia sina cash.

Wakati nalipia akaniambia utaisubiria leseni yako au nikupitishe chap uipate, nikamwambia sina haraka nayo nitaisubiria. Ikabidi aniulize huna hata pesa kidogo unipe nikamwambia sina, akaniambia basi lipia utanikuta nje hapo, tukaachana hapo.

Sasa maswali yangu ni kuwa;
1. Hawa madalali ni wafanyakazi wa TRA au vipi, kama ni wafanyakazi wa TRA ina maana hawana kazi ya kufanya hadi waanze kukaa kwenye korido kusubiri watu wanaohitaji huduma?

2. Kama si wafanyakazi wa TRA inakuwaje warande kwenye ofisi ya umma kila siku na hali ya kuwa kuna viongozi pale kwenye ofisi za TRA. Kwa nini wasiwapige marufuku kukanyaga pale?
Nikupongeze sana kwa kukataa mfata huyo mtu ila kuna watu wengine wacha wapigwe tu. Ushaambiwa huduma bure na unakuta mtu anaambiwa lipia na analipa. Ushajua kuwa ni kishoka tena unasema yupo kwenye korido bado unampa pesa mimi naona wacha wapigwe tu. Na wanaopigwa ni sawa na wale walipigwa na yule mchungaji kiboko ya wachawi
 
Nimeenda ofisi za TRA kufuatilia leseni ya udereva lakini nilivyofika nimeshtuka kupokelewa na mtu kwenye korido ya ofisi ananiuliza unahitaji nini?

Kwa upole nikamjibu nimekuja kukata leseni ya udereva, akaniambia njoo nikusaidie.

Tukaingia ndani akaniambia una tin number nikamjibu ninayo, nikampa akaandika akaenda dirishani pale akaja na control number akaniambia nilipie kwa benki au kwenye simu kama ninayo, ikabidi nilipie kwenye simu sababu alishaanza kuniambia twende nikupeleke bank hapo chini ukalipie nikamwambia sina cash.

Wakati nalipia akaniambia utaisubiria leseni yako au nikupitishe chap uipate, nikamwambia sina haraka nayo nitaisubiria. Ikabidi aniulize huna hata pesa kidogo unipe nikamwambia sina, akaniambia basi lipia utanikuta nje hapo, tukaachana hapo.

Sasa maswali yangu ni kuwa;
1. Hawa madalali ni wafanyakazi wa TRA au vipi, kama ni wafanyakazi wa TRA ina maana hawana kazi ya kufanya hadi waanze kukaa kwenye korido kusubiri watu wanaohitaji huduma?

2. Kama si wafanyakazi wa TRA inakuwaje warande kwenye ofisi ya umma kila siku na hali ya kuwa kuna viongozi pale kwenye ofisi za TRA. Kwa nini wasiwapige marufuku kukanyaga pale?
da naomba nikushauri ungeweka ofisi ipi ili wahusika tra waweze jua najua watakuwa wanapitia hizi thread zetu.Pia itasaidia watu wengine kujihami.
 
Nimeenda ofisi za TRA kufuatilia leseni ya udereva lakini nilivyofika nimeshtuka kupokelewa na mtu kwenye korido ya ofisi ananiuliza unahitaji nini?

Kwa upole nikamjibu nimekuja kukata leseni ya udereva, akaniambia njoo nikusaidie.

Tukaingia ndani akaniambia una tin number nikamjibu ninayo, nikampa akaandika akaenda dirishani pale akaja na control number akaniambia nilipie kwa benki au kwenye simu kama ninayo, ikabidi nilipie kwenye simu sababu alishaanza kuniambia twende nikupeleke bank hapo chini ukalipie nikamwambia sina cash.

Wakati nalipia akaniambia utaisubiria leseni yako au nikupitishe chap uipate, nikamwambia sina haraka nayo nitaisubiria. Ikabidi aniulize huna hata pesa kidogo unipe nikamwambia sina, akaniambia basi lipia utanikuta nje hapo, tukaachana hapo.

Sasa maswali yangu ni kuwa;
1. Hawa madalali ni wafanyakazi wa TRA au vipi, kama ni wafanyakazi wa TRA ina maana hawana kazi ya kufanya hadi waanze kukaa kwenye korido kusubiri watu wanaohitaji huduma?

2. Kama si wafanyakazi wa TRA inakuwaje warande kwenye ofisi ya umma kila siku na hali ya kuwa kuna viongozi pale kwenye ofisi za TRA. Kwa nini wasiwapige marufuku kukanyaga pale?
Kiongozi njoo inbox kuhusu hii kuna mtu namfahamu TRA atusaidie
 
Nimeenda ofisi za TRA kufuatilia leseni ya udereva lakini nilivyofika nimeshtuka kupokelewa na mtu kwenye korido ya ofisi ananiuliza unahitaji nini?

Kwa upole nikamjibu nimekuja kukata leseni ya udereva, akaniambia njoo nikusaidie.

Tukaingia ndani akaniambia una tin number nikamjibu ninayo, nikampa akaandika akaenda dirishani pale akaja na control number akaniambia nilipie kwa benki au kwenye simu kama ninayo, ikabidi nilipie kwenye simu sababu alishaanza kuniambia twende nikupeleke bank hapo chini ukalipie nikamwambia sina cash.

Wakati nalipia akaniambia utaisubiria leseni yako au nikupitishe chap uipate, nikamwambia sina haraka nayo nitaisubiria. Ikabidi aniulize huna hata pesa kidogo unipe nikamwambia sina, akaniambia basi lipia utanikuta nje hapo, tukaachana hapo.

Sasa maswali yangu ni kuwa;
1. Hawa madalali ni wafanyakazi wa TRA au vipi, kama ni wafanyakazi wa TRA ina maana hawana kazi ya kufanya hadi waanze kukaa kwenye korido kusubiri watu wanaohitaji huduma?

2. Kama si wafanyakazi wa TRA inakuwaje warande kwenye ofisi ya umma kila siku na hali ya kuwa kuna viongozi pale kwenye ofisi za TRA. Kwa nini wasiwapige marufuku kukanyaga pale?
riziki za watuu izoo😂😂
 
Nimeenda ofisi za TRA kufuatilia leseni ya udereva lakini nilivyofika nimeshtuka kupokelewa na mtu kwenye korido ya ofisi ananiuliza unahitaji nini?

Kwa upole nikamjibu nimekuja kukata leseni ya udereva, akaniambia njoo nikusaidie.

Tukaingia ndani akaniambia una tin number nikamjibu ninayo, nikampa akaandika akaenda dirishani pale akaja na control number akaniambia nilipie kwa benki au kwenye simu kama ninayo, ikabidi nilipie kwenye simu sababu alishaanza kuniambia twende nikupeleke bank hapo chini ukalipie nikamwambia sina cash.

Wakati nalipia akaniambia utaisubiria leseni yako au nikupitishe chap uipate, nikamwambia sina haraka nayo nitaisubiria. Ikabidi aniulize huna hata pesa kidogo unipe nikamwambia sina, akaniambia basi lipia utanikuta nje hapo, tukaachana hapo.

Sasa maswali yangu ni kuwa;
1. Hawa madalali ni wafanyakazi wa TRA au vipi, kama ni wafanyakazi wa TRA ina maana hawana kazi ya kufanya hadi waanze kukaa kwenye korido kusubiri watu wanaohitaji huduma?

2. Kama si wafanyakazi wa TRA inakuwaje warande kwenye ofisi ya umma kila siku na hali ya kuwa kuna viongozi pale kwenye ofisi za TRA. Kwa nini wasiwapige marufuku kukanyaga pale?

nilikuwa karibu na ofisi za tra nikaona nipite nijionee nimekutana na haya matangazo
WhatsApp Image 2024-09-11 at 12.51.02 (3).jpeg
WhatsApp Image 2024-09-11 at 12.51.02 (5).jpeg
WhatsApp Image 2024-09-11 at 12.51.02 (7).jpeg
 
Shida yako ni kuishi kijijini ndio maana umekuja kutuliza swali la kizembe kama hili , Tanzania kweli unauliza swali hili
 
da naomba nikushauri ungeweka ofisi ipi ili wahusika tra waweze jua najua watakuwa wanapitia hizi thread zetu.Pia itasaidia watu wengine kujihami.
Karibia ofisi zote za TRA wapo, kwa sababu nilishawahi kwenda ofisi za samora pale nikakutana nao ila nikawakataa kiaina. Baada ya muda nikaenda tena samora ila ofisi zipo kwenye matengenezo, nikaambiwa niende diamond plaza kwenda kule nikakutana nao tena.
 
Hellow nikiwa na cheti Cha driving basic naweza pata leseni ya madaraja A2,B ,D Kwa gharama kiasi gani ?
 
Nimeenda ofisi za TRA kufuatilia leseni ya udereva lakini nilivyofika nimeshtuka kupokelewa na mtu kwenye korido ya ofisi ananiuliza unahitaji nini?

Kwa upole nikamjibu nimekuja kukata leseni ya udereva, akaniambia njoo nikusaidie.

Tukaingia ndani akaniambia una tin number nikamjibu ninayo, nikampa akaandika akaenda dirishani pale akaja na control number akaniambia nilipie kwa benki au kwenye simu kama ninayo, ikabidi nilipie kwenye simu sababu alishaanza kuniambia twende nikupeleke bank hapo chini ukalipie nikamwambia sina cash.

Wakati nalipia akaniambia utaisubiria leseni yako au nikupitishe chap uipate, nikamwambia sina haraka nayo nitaisubiria. Ikabidi aniulize huna hata pesa kidogo unipe nikamwambia sina, akaniambia basi lipia utanikuta nje hapo, tukaachana hapo.

Sasa maswali yangu ni kuwa;
1. Hawa madalali ni wafanyakazi wa TRA au vipi, kama ni wafanyakazi wa TRA ina maana hawana kazi ya kufanya hadi waanze kukaa kwenye korido kusubiri watu wanaohitaji huduma?

2. Kama si wafanyakazi wa TRA inakuwaje warande kwenye ofisi ya umma kila siku na hali ya kuwa kuna viongozi pale kwenye ofisi za TRA. Kwa nini wasiwapige marufuku kukanyaga pale?
Ni ndugu zao TRA Tanzania wamewaweka wajipatie kipato.
 
Nimeenda ofisi za TRA kufuatilia leseni ya udereva lakini nilivyofika nimeshtuka kupokelewa na mtu kwenye korido ya ofisi ananiuliza unahitaji nini?

Kwa upole nikamjibu nimekuja kukata leseni ya udereva, akaniambia njoo nikusaidie.

Tukaingia ndani akaniambia una tin number nikamjibu ninayo, nikampa akaandika akaenda dirishani pale akaja na control number akaniambia nilipie kwa benki au kwenye simu kama ninayo, ikabidi nilipie kwenye simu sababu alishaanza kuniambia twende nikupeleke bank hapo chini ukalipie nikamwambia sina cash.

Wakati nalipia akaniambia utaisubiria leseni yako au nikupitishe chap uipate, nikamwambia sina haraka nayo nitaisubiria. Ikabidi aniulize huna hata pesa kidogo unipe nikamwambia sina, akaniambia basi lipia utanikuta nje hapo, tukaachana hapo.

Sasa maswali yangu ni kuwa;
1. Hawa madalali ni wafanyakazi wa TRA au vipi, kama ni wafanyakazi wa TRA ina maana hawana kazi ya kufanya hadi waanze kukaa kwenye korido kusubiri watu wanaohitaji huduma?

2. Kama si wafanyakazi wa TRA inakuwaje warande kwenye ofisi ya umma kila siku na hali ya kuwa kuna viongozi pale kwenye ofisi za TRA. Kwa nini wasiwapige marufuku kukanyaga pale?

Wewe ukishapata huduma ya haraka mengine usiulize, umekosea sana kutompa jamaa kitu kidogo, wanaotafuta riziki hao ya halalo, sasa usijidai wewe ni mtu wa utaratibu saaaaaaana mpaka unakuja kuuliza huku swali ambalo una majibu nalo, fala!
 
Back
Top Bottom