Sio Bongo tu kiongozi, Bali dunia nzima madalali wapo ila wenzetu wamepewa majina ya kizungu yaan Broker, Agents. wote hawa wanapiga pesa bila mtaji zaid ya kulijua soko linataka nin. Fikiria Mendez anavyowauza wachezajiUnajua kuna watu humu, wanaleta mambo ya kusadikika, tu, wakati kuna watu tunayaishi hayo mambo!! Tena unakuta mtu hata hajawahi yaona bali ni kupinga tu, karibu 90%ya biashara za Tz, dalali hakwepeki kamwe
Sio Bongo tu kiongozi, Bali dunia nzima madalali wapo ila wenzetu wamepewa majina ya kizungu yaan Broker, Agents. wote hawa wanapiga pesa bila mtaji zaid ya kulijua soko linataka nin. Fikiria Mendez anavyowauza wachezaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili sana mkuu, ngoja nicopy mamaneno yako!Sikubaliani na wewe kabisa. Ni mazoea yamefanya watu wawe kama watumwa tu. Ukitaka na ukidhamiria kuvunja hiyo circle unavunja bila shida. Tatizo naloliona hapa ni kuwa wengi wa biashara ya viazi na mazao mengine ni watu wenye kipato kidogo na ubunifu mdogo hivyo wanakosa namna ya kujikwamua. Niwe na fedha yangu na niamue kufanya biashara ya viazi uniambie eti ni lazima nitumie dalali? Mtu mwenye fedha nzuri akiamua kujenga godown yenye na cold room na awe na magari ya kusambaza kwa wateja naweza kufanya biashara nzuri kabisa. Na niseme ni jambo la muda tu watu wenye uwezo wa namna hii watajitokeza.
Na mkisha ungana mnakua madalali kwa wasio na mashineNa hill ndyo tatizo, hamtaki kufanya mnachotakiwa kufanya mnabaki kumlilia dalali awahurumie!! Yaan dalali mmempa nguvu nyingi asizostahili
Badala ya kulia lia ni bora mngeunisha nguvu wakulima hta 30 ili muweze kununua mashine za kisasa pamoja na vifungashio ili muamue destiny yenu nyie wenyewe na sio kumpa nguvu mjinga mmoja ambaye hta kusoma hajasoma awaamulie hatima ya maisha yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Good observation...Sio Bongo tu kiongozi, Bali dunia nzima madalali wapo ila wenzetu wamepewa majina ya kizungu yaan Broker, Agents. wote hawa wanapiga pesa bila mtaji zaid ya kulijua soko linataka nin. Fikiria Mendez anavyowauza wachezaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi sana mkuu, kwenye value chain dalali ni mtu muhimu kwa sababu yeye ndio master of informations. tatizo walilonalo madalali hasa wa mazao ni kutaka kucontrol soko means bei za mazao.Good observation...
Modern day economy ipo hivyo...kuna producers, dealers na end users.
Kila mmoja ana kiwango chake cha risks, unaamua tu kwamba katika hiyo value chain wewe ukae wapi, kusema kwamba hiyo middle level yaani madalali waondoke siyo realistic...
Dealers, agents, brokers au madalali, mtaji wao mkubwa ni information....wanasema, information is power. Dalali wa mahindi anajua wapi mahindi yanahitajika, bei, conditions na ni nani anayahitaji...mkulima hawezi kujua yote hayo kwa kuwa siyo speciality yake...kwa hiyo Dalali atakula kwa kumiliki information hiyo muhimu wakati mkulima atakula kwa kuzalisha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe toka shamba ukae bize na tecno yakoMda huo wewe upo nyang'anyang'a toka shamba
Yeye Yuko busy na kasimu kake
Sent using Jamii Forums mobile app