Madalali wa magari jijini mwanza wanapaki magari ya biashara kwenye vituo vya dalala na kusababisha foleni barabarani.
Daladala inabidi zipaki nje ya kituo kushusha au kupandisha abiria na kusababisha foleni kubwa za magari.
Vituo hivyo ni Nera barabara ya Airport na Kona ya Bwiru barabara ya Kiloleli.
Daladala inabidi zipaki nje ya kituo kushusha au kupandisha abiria na kusababisha foleni kubwa za magari.
Vituo hivyo ni Nera barabara ya Airport na Kona ya Bwiru barabara ya Kiloleli.