Pita pita hata kwenye haya makampuni makubwa ya magari uangalie fursa huko.Alisoma,
Logistics and Transport Management.
[emoji106] [emoji106] hata mm naona hivyo mkuu,watu wako kivingineWamefungua id mpya za umri mdogo zaidi, zile za zamani zimezeeka wanakosa soko humu. Ukiona id nyingi mpya usishangae. Watu wanaji update kidogo kuendana na kasi na mahitaji ya jamii.
hahaaaYule huwa ni wa msimu tu
Mkuu unalo jina lingine?Tatizo huku jf wale wahenga wote wana majina mengine;
si unajuwa hali ilivyo so kila mtu anajihami;
Karibu Naroki mkuuBaba V salama mkuuu
nipo japo Marry Hunbig hajanitaja
Mamndenyi salama
Niko single aise nafasi haina mtu sijui nikuje tena kwako
Watu8 sijui kafichwa wapi
Kama kawaida maeneo ya Pangani mkuuChairman yupo sana.
Wapi wewe muzee?
Siku hz naona wamehamia wasapMa legend hao wa Tchit tchat
Washatoboana sasa wanaoneana aibu tu...
wee nae......kina nani sasa........