Si hawa hawa waliopotea jamviniwee nae......kina nani sasa........
Si hawa hawa waliopotea jamvini
Unawatetea eeh!!Sababu kuu ni ile ileWayiiiiii.....majukumu....umri......vimeongezeka.........
Unawatetea eeh!!Sababu kuu ni ile ile
Wanajifanya kutokukuona, mbona tuliopo hawatusalimiihakuna.....mbona mimi nipo.......?...
Kina PJ hawaji kuchangia hapa...sababu ikiwa ni hiyo hiyo.hakuna.....mbona mimi nipo.......?...
Wanajifanya kutokukuona, mbona tuliopo hawatusalimii
hatujaua bana.....sisi huku tupo live zaidi........kama saa hii tunapiga biyaaaaaaaaaaaaaaaa........Umemdhibiti sana huyu jamaa aisee...mpaka mnaua taasisi ya chitchat halafu kumbuka ilianzishwa kwa ajili yenu.
Niko powaa, Dereva yupo ananizungusha vijiwe vipya vya chips tembele.Nashangaaaa..........
hujambo lakini.......?....mkuu wa mkoa hajambo.......?......
Ha ha ha una kumbukumbu teh
Aisee..!Itabidi muweke bango la "Leo Tupo Hapa @Jf chitchat"hatujaua bana.....sisi huku tupo live zaidi........kama saa hii tunapiga biyaaaaaaaaaaaaaaaa........
Dah last seen March 4, 2014 natamani arudiKwani Bishanga si yupo ndani kwa matumizi mabaya ya ofisi tangu karibia na uchaguzi
Pigaaaaa, round 3 nawajibika.hatujaua bana.....sisi huku tupo live zaidi........kama saa hii tunapiga biyaaaaaaaaaaaaaaaa........
Nilikuwa napenda ile mnazinguana nae masaa hata mawiliDah last seen March 4, 2014 natamani arudi
Alikua ananikosha name lile jibu lake "inahuu" utaandika bonge la gazeti banana man jibu lake moja tu inahuu.... Ha ha ha
Halafu kuna yule mwingine alikuwa anazingua kujua kama ni ke au me japo alikuwa na mwandiko wa kike avatar yake mama kabeba mtoto mgongoni na mzigo wa kuni kichawani hala kuna mzee ananyonya nyonyo