Madam director a.k.a malkia wa team deki: Siachi ng'oo mpaka maduka yafungwe :

Siwezi kabisa maana haina uvuto............!
Type yangu muulize Heaven on Earth atakwambia ............!
Mie huwa sipigi picha nataka uione live mwenyewe kama thomaso ............!

babe,type zako nazijua sio type ya kina
wema sepetu!!!!!
 
ulivomkamia!lakini inajulikana ni hasimu wako.wanapendaga ivoivo alivyobabuka

Ungejua ninavyompenda wema hata usingesema, sema tu sipendi mkorogo unavyomharibu. Mimi nilishapewa jina humu ndani kuitwa Zamaradi kisa kumtetea wema. Watakushangaa sana
 
No, nguruwe hana ngozi mbaya ivo. Taratibu unapotoa maoni dhidi ya mnyama wetu kipenzi...
Ulikuwa wapi jaman wewe, umepotea jamani....au ulikuwa kwenye siasa manake me na siasa na maji na moto
 
Ungejua ninavyompenda wema hata usingesema, sema tu sipendi mkorogo unavyomharibu. Mimi nilishapewa jina humu ndani kuitwa Zamaradi kisa kumtetea wema. Watakushangaa sana

hanishangai mtu tatizo ni umemuexpose sana mwenzio ndo upendo huo? Khs mikorogo ya wema mbona sio mada mpya hapa si mumwache aibu yake mwenyewe
 
hanishangai mtu tatizo ni umemuexpose sana mwenzio ndo upendo huo? Khs mikorogo ya wema mbona sio mada mpya hapa si mumwache aibu yake mwenyewe

Best rafiki mzuri ni yule anayekuambia ukweli hata kama ni mchungu. anatisha bwana na hayo masteki hapo mapajani
 
Best rafiki mzuri ni yule anayekuambia ukweli hata kama ni mchungu. anatisha bwana na hayo masteki hapo mapajani
ok labda sikukusoma uzuri ila sikatai ukweli anachusha lakini amini usiamini wanaume wanapendaga wanawake ambao hata wanatisha kwa jinsi walivyojikoboa.colour yako iko poa usijetamani weupe wa bongo movies.
 
Alikua mzuri kabla ya mkorogo sijui kwanini tu aliamua kukumbwa na jinamizi la weupe eti Mrembo by Nature unaonje si alikua poa tu.

Huyu dada ninamoenda sana, ila nikiona tu hii mikorogo yake naskia kutapika. Alikuwa mzuri sana wema...

Ila ni mtu wa makundi na kamoani ndo zinamuharibu. Wema hakuwa mtu wa kuhang out na akina snura majanga, class yake haikuwa hii na ndo hawa walimfundisha kujipiga deki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…