Ulikuwa wapi jaman wewe, umepotea jamani....au ulikuwa kwenye siasa manake me na siasa na maji na moto
Nipo mama, tilikuwa bize kumpokea rais wa dunia huku tukikalia aibu zetu...
Hahaha nyie ndo mliambiwa mjificha hadi aondoke ndo mtokezee?
Nafikiri ipo dawa ya kutibu hayo madhara lkn itakua ngumu kuipata ni mpaka ajitahidi kuitafuta sana na hasa nchi za magharibi/ulaya na itakua inauzwa kwa bei ya juu. I believe ipoAblessed, ukweli ndio huo, shetani anapokushawishi ufanye jambo against Mungu huwa anakuwa karibu na wewe kweli, ila akishaona unaharinikiwa wala humuoni. Sasa mbona hawampi dawa za kurudisha uasili wake ?ndo shetani ashampa bye bye hivyo asubiri tu kutisha zaidi ya hapo
Nakuambia, halafu na rais wetu nae akadai kuwa timefurahi saaaaana kwa ugeni ule...
Nafikiri ipo dawa ya kutibu hayo madhara lkn itakua ngumu kuipata ni mpaka ajitahidi kuitafuta sana na hasa nchi za magharibi/ulaya na itakua inauzwa kwa bei ya juu. I believe ipo
Mrembo by Nature unajua usiporidhika na ulhalisia wako ni taabu sana. Sasa wengi wameanza kuona madhara ya kemikali . Hivi vitu wafanya biashara wanachojali ni cash tu . Hata walioongeza makalio wamenza kupata shida
View attachment 102311
Hii ni moja ya picha alizoweka instagram zinazoonesha namna mkorogo ulivyomharibu
Kiti moto baridaaaaaaaaa .................!
nahisi hata lile eneo la utamu maarufu kama KIPANGURANGODA limeharibika hivi hivi,,,,, ngoja wale wataalamu wa audit wakishfanya substantive testing watakuja kututhibitishia hapa
Hahahahaha ngoja tukutume ukajaribu kusavei mazingira alafu utuletee data
Mrembo by Nature,,
tupo kwenye mfungo mwezi huu ( kule kwentu KIMBIGIRI) wanauita mwezi wa mahaba.... sa nasubiri uishe kwanza then ukiisha tuu najitoa muhanga kwenda kufanya preliminary review
View attachment 102311
Hii ni moja ya picha alizoweka instagram zinazoonesha namna mkorogo ulivyomharibu
kwa hiyo na mashine nayo imerojeka namna hiiii????
allaaaah kumbe ndo maana kila uchao anachika!!!:wave: