Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
But sidhani kama kuna mtu alimini.Nawashangaa
Mama yangu sio mshauri mkuu namshirikisha mambo machache ya siri. Mama yangu hawezi ku argue na mume wangu. Mume anatakiwa amalizane na mimi kuepusha mizozoMama yako ni mshauri wako mkuu!?
Mama yako akiwa ana argue Na mumeo utakuwa side ipi
DJ sepetu
Ikitokea ukaona Meseji ya mapenzi ktk simu ya mumeo ukahisi ni dada yakoMama yangu sio mshauri mkuu namshirikisha mambo machache ya siri. Mama yangu hawezi ku argue na mume wangu. Mume anatakiwa amalizane na mimi kuepusha mizozo
Ndoa kuishi pamoja kujenga familia moja, kuamua kwa pamoja.Nini tofauti ya ndoa , harusi Na fungate!
DJ sepetu
Namuuliza mume wangu, mume wangu sipaswi kuwa na doubt namuuliza kujiridhishaIkitokea ukaona Meseji ya mapenzi ktk simu ya mumeo ukahisi ni dada yako
Kabla ya kuuliza utafanya nn
DJ sepetu
Hizi objective ziache hazina faida. Labda kwa mwanafunziYupi hajawahi kuwa rais Wa marekani
Baraka Obama
Abraham Lincoln
George Bush
John Kennedy
DJ sepetu
Unapenda harusi ya gharama ganiNdoa kuishi pamoja kujenga familia moja, kuamua kwa pamoja.
Harusi ni ile sherehe tu inajumuisha kamati, muziki, chakula na watu.
. Fungate watu hukaa kuzoeana kuanza rasmi maisha ya pamoja hasa kufurahia tendo bila bugudha haijalishi mliaanza ama mabikira. Hapa wanaanza kujua sasa maisha ni ya wao wawili.
Itategemea na uwezo wetu. Hata laki sawa. Ila tukiwa matajiri iwe ya kawaida sio kufuruUnapenda harusi ya gharama gani
10000000
1000000
100000
DJ sepetu
Usinisahau bestBaadae jioni tena ntakuta maswali
Kiungo kipi ktk mwili wako unakihusudu zaidi
Kwann
DJ sepetu
Breasts
Mwambiekidogo tu, it wont hurt eti!!