Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Hakuna urais wa saa moja. Maana huwezi kufanya kazi na watu ambao hata muda wa kuwateua haufai.Ungepata nafasi ya kuwa rais kwa saa moja ungefanya nn
DJ sepetu
kidogo tu, it wont hurt eti!!
Hainidai makubwa maana nimefanya niyawezavyo.Ni jambo gani kubwa unadhani jamii inakudai
DJ sepetu
MagufuliNyerere au magufuli
DJ sepetu
Nafasi kama mwanafamilia, anayefanya mambo mengine hasa ya uzalishaji yaendelee kwani hukupa muda wa kwenda kuhangaika. Nafikiri walipwe 1/5 ya kipato ni wa muhimuMfanyakazi Wa ndani ana sehemu ipi ktk familia
DJ sepetu
Ana kauthubutu angalau kakusema hili hapana akashikilia. Familia(taifa) inakuwa na baba mwenye mamlaka.Kwann
DJ sepetu
Ndoa nyingi zimevurugika sababu ya mahausi geliNafasi kama mwanafamilia, anayefanya mambo mengine hasa ya uzalishaji yaendelee kwani hukupa muda wa kwenda kuhangaika. Nafikiri walipwe 1/5 ya kipato ni wa muhimu
Kama hajapita tutamjadili vipi? Tunamjadili aliyepitaUnadhani angefaa kuwa rais ikiwa asingepita yeye
DJ sepetu
Sio kudhani! Kosa liko kwa wote mwanandoa anayetembea naye na house girl anayetembea na boss( labda kama alibakwa). Makosa ya mkeo hayatoi ruhusa ya kutembea na mtoto wa kazi anayekulelea watotoNdoa nyingi zimevurugika sababu ya mahausi geli
Unadhani kosa liko wapi
DJ sepetu
Kuwa specific! Kwa mara moja paaa au kujikusanya?Fedha yako kubwa uliyowah shika ni kiasi gani
DJ sepetu
Waweza kuwa na karma na usiitumie. Alikuwa nayo kwa kiasi chake sema mambo yakushughulikia yalikuwa mengiKwa ufahamu wako Nyerere hakuwa Na hiyo karma!
DJ sepetu
15mil.Paaa
DJ sepetu