Waangalie upya mikakati yao, wabadilishe namna ya kufanya kazi. Wasianzishe vitu kufuata mkumbo. Wafanye utafiti wa needs na market kwanza.Wapo waliofanya yote lakini wakaanguka!!
Unawapa advice gani
DJ sepetu
Utumishi una faida na hasara. Hivyo faida bado sijazichoka sema maslahi sio ya kutegemea.Unataka sema bora kujiajiri kuliko ajira!
Je una mpango Wa Ku resign!
DJ sepetu
Mimi ni mtu wa kuumia kwa muda na kuangalia wapi nimekose. Kama ni aina ya watu walionitia hasara nawaepuka. Ukikata tamaa umekwisha maisha yako ni magumuHii ilipaswa kukukatisha tamaa eti!
Kwann huku give up
DJ sepetu
Sasa kama ni mshauri mkuu, kwanini kila siku inamliza kwa vitabia vyako vya udokozi wa vitumbua?Mama yangu sio mshauri mkuu namshirikisha mambo machache ya siri. Mama yangu hawezi ku argue na mume wangu. Mume anatakiwa amalizane na mimi kuepusha mizozo
Shehe.Sasa kama ni mshauri mkuu, kwanini kila siku inamliza kwa vitabia vyako vya udokozi wa vitumbua?
Mzm ? Umepotea sana
Poa upo kimya njoo inbox basi
Labda itokee tuu.Naam Sheikh...
Specify what inspired you most dear
Ile exposure yako tu! It killing me [emoji7] [emoji7] [emoji7]Specify what inspired you most dear
SwadataNadhani next week
DJ sepetu
Utajibu maswali ww mwyewSwadata
SitakuwepoUtajibu maswali ww mwyew