Madam Rita wa Bongo Star Search

Babuu alimpandishia gharaama zakuonyesha kipindi chakeee coz nakumbuka pind bongo star search ilipo hamia tbc watuu walimuhojiii akasemaa kulekwinginee wamempandishia gharama za kuonyesha kipind chakee..

Gharama c zilipanda baada kitumbua kuingia mchanga
 
Huyo dada madam rita namuona kama ana undugu na wolper ndio maana nimeuliza labda wana uhusiano wowote wa kindugu?
Ana mtoto mmoja, alimpata akiwa shuleni at the age of 10,s
hajaolewa nasikia anapenda viserengeti
story unga unga hadi utapata story yote, mi najua hivo tu lol
 
Huyu madam inaonekana wazi kabisa kwamba hawezi simama mwenyewe bila uume.
ITV' TBC nw CLOUDS.


Mhhh.!'
 
Sio kwa kuadimika huko binamu Miss you too

Bora alivyoitoa TBC.. Maana mnaweza kua mnasubiri kipindi unashangaa leo kipindi kitachelewa .. Kuna kipindi cha kilimo cha mbogboga kwanza...

Yani TBC wanaboaga yani hawana ratiba ya kueleweka, sijui vipindi vinaendeshwa na wanafunzi wa field ,yani hawaeleweki bora clouds kidogo
 
Sio kwa kuadimika huko binamu Miss you too

Bora alivyoitoa TBC.. Maana mnaweza kua mnasubiri kipindi unashangaa leo kipindi kitachelewa .. Kuna kipindi cha kilimo cha mbogboga kwanza...

Hahahaaa my ribs uwiiiiiiiii! Kipindi maalumu😂😂😂
 
Yani TBC wanaboaga yani hawana ratiba ya kueleweka, sijui vipindi vinaendeshwa na wanafunzi wa field ,yani hawaeleweki bora clouds kidogo

Nikitoka kupambana na mijasho yangu mtaani, nkifika hm.my 1st chanel ni clouds.nyingne zafwatia.
 
Wakati wa mahusiano inawezekana terms zilikua lege legeee.. Baadae baada ya break up mambo yakakazwa

Haaa Madam alikasirika kuona machache kavuta kitu hot hot K lyn baada ya kuachana Halafu ukiangalia K lyn na Madam Rita were besties back then.....

kwa iyo kumbe k lyn ni mbayaaaaaaaaaa....... she was waiting like an eagle for the perfect opportunity to pounce and how well she did it, from twins to marriage mzee alikua anapelekwa puta akajikuta kaoa kabisa!!!
 
Mnhhhhhhhh

Mkuu unaguna tena?

Unadhani hawa watu maarufu ukiamua kula nyama utashindwa? Ni wewe tu ukiamua utapata unachotaka. Ila you have to be serious.

You need to have their attention in a smart way.
 
Wakati wa mahusiano inawezekana terms zilikua lege legeee.. Baadae baada ya break up mambo yakakazwa

Haaa Madam alikasirika kuona machache kavuta kitu hot hot K lyn baada ya kuachana Halafu ukiangalia K lyn na Madam Rita were besties back then.....

Ingependeza ungetiririka zaidi ya hapa. Naanza ku enjoy!
 
Ana mtoto mmoja, alimpata akiwa shuleni at the age of 10,s
hajaolewa nasikia anapenda viserengeti
story unga unga hadi utapata story yote, mi najua hivo tu lol

Hii prejudice huwa siifurahii kabisa!

Msichana mdogo akiolewa na babu yake its just love

Masela tukiruka na ma bimkubwa utasikia ''wanapenda kweli umarioo''

Its totally unfair
 
Hahahahahahahaha umenichekesha haha jamanii humu ndani😆😆😆😆kipindi cha mboga mboga kwanza😆😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…