Ana uccm wa kishamba sana na toka ule uzi wake wa picha na vituko ubambe hapa jf amekuwa mjivuni na anajikweza sana utadhani yeye ndio mwanzilishi wa jfMbona numbisa me namuelewa tu zinaiva
Kila jamii haikosi wachawiMshamba na mpuuzi tu analeta ukabila na udini
Ndo nikiulize wewe sasa.Unakojoaje? Mkojo unatokea wapi?