Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kwanza ni kupongeze kwa kuanzisha project ya kufufua na kuibua vipaji vya vijana hasa walio kosa fursa.
Na BSS(bongo star search) ilipofikia lazima tukupe pongezi kwa jitihada mahususi maana tuliona project nyingi zilizo anzishwa kama hizi zime kufa. Ni wazi kuwa bongo star search inapendwa na watanzania wengi na imezidi kupendwa kila leo.
Nilishituka kusikia kuwa Bongo star search mwaka huu tutaiona kupitia TBCI.
Nalilishituka kutokana na historia ya vipindi vingi vya burudani na michezo kufia vikiwa TBC1.
kuna mifano michache
.HIKO WAPI MAISHA PLUS?
.HIKO WAPI SEREBUKA?
Kuna kipindi TBC1 walikuja na mbwebwe za kutonesha UEFA CHAMPIONS LEAGUE lakini ambo yalikufa kimya kimya hadi leo sijui kama wana kumbuka hilo.
Kuna kipidi TBC1 walikuja na mbwembwe za kutuonesha ENGLAND PREMIER LEAGUE, mambo napo yakafa kimya kimya.
Pengine tunaweza kuonekana tunatupa lawama kwa TBC1 kuua vpindi vya burudani na michezo lakini ikawa sababu ni hao wanao peleka vipindi kushindwa kuviendesha au kuvigharamia.
Lakini tunatakiwa kujiuliza ni nani anatakiwa kulinda hadhi ya TBC1 kama sio uongozi wa TBC1 wenyewe? Na kipindi kinapo kufa mikononi mwao ni wazi lazima walaumiwe wao kwa sababu wanatakiwa kuruhusu vipindi vyenye uhakika na kutoka kwa watu wenye uwezo wa kuvigharamia.
Pia inaonekana TBC1 kuna tatizo kwenye uendeshaji wa vipindi hasa vya burudani na ni wazi TBC1 hawajali wateja na wanauwezo wa kukatisha kipindi bila kujali wateja na kuweka hotuba ya waziri au program ya ufunguzi wa barabara ambayo pengine ingewza kuonesha siku nyingine sababu imerekodiwa.
Sito shangaa kuona BSS imesimama kuoneshwa kwa wiki hata mmoja ili kupisha kipindi Maalum kinacho husu nchi nyingine. Na pengine TBC1 wanafanya hivi sababu hii si television ya kibiashara kwa hiyo mtu anapo peleka kipindi kule ni wazi lazima ajue hawako kibishara zaidi wala hawako pale kumpa mteja acho hitaji.
BSS ni show nzuri sana na inapendwa na watanzania wengi kwakweli watakwazika kama hayo yaliyo zikuta show zingine haya hikuti BSS. Lakini mbona mwaka huu zile shamrashara za kuanza bongo star search hatuzioni?
Ni matumaini yangu wewe na timu yako mkishirikiana na TBC1 mmejipanga kuhakikisha hamto wakwazi watazamaji na wala kuwapoteza.
Na BSS(bongo star search) ilipofikia lazima tukupe pongezi kwa jitihada mahususi maana tuliona project nyingi zilizo anzishwa kama hizi zime kufa. Ni wazi kuwa bongo star search inapendwa na watanzania wengi na imezidi kupendwa kila leo.
Nilishituka kusikia kuwa Bongo star search mwaka huu tutaiona kupitia TBCI.
Nalilishituka kutokana na historia ya vipindi vingi vya burudani na michezo kufia vikiwa TBC1.
kuna mifano michache
.HIKO WAPI MAISHA PLUS?
.HIKO WAPI SEREBUKA?
Kuna kipindi TBC1 walikuja na mbwebwe za kutonesha UEFA CHAMPIONS LEAGUE lakini ambo yalikufa kimya kimya hadi leo sijui kama wana kumbuka hilo.
Kuna kipidi TBC1 walikuja na mbwembwe za kutuonesha ENGLAND PREMIER LEAGUE, mambo napo yakafa kimya kimya.
Pengine tunaweza kuonekana tunatupa lawama kwa TBC1 kuua vpindi vya burudani na michezo lakini ikawa sababu ni hao wanao peleka vipindi kushindwa kuviendesha au kuvigharamia.
Lakini tunatakiwa kujiuliza ni nani anatakiwa kulinda hadhi ya TBC1 kama sio uongozi wa TBC1 wenyewe? Na kipindi kinapo kufa mikononi mwao ni wazi lazima walaumiwe wao kwa sababu wanatakiwa kuruhusu vipindi vyenye uhakika na kutoka kwa watu wenye uwezo wa kuvigharamia.
Pia inaonekana TBC1 kuna tatizo kwenye uendeshaji wa vipindi hasa vya burudani na ni wazi TBC1 hawajali wateja na wanauwezo wa kukatisha kipindi bila kujali wateja na kuweka hotuba ya waziri au program ya ufunguzi wa barabara ambayo pengine ingewza kuonesha siku nyingine sababu imerekodiwa.
Sito shangaa kuona BSS imesimama kuoneshwa kwa wiki hata mmoja ili kupisha kipindi Maalum kinacho husu nchi nyingine. Na pengine TBC1 wanafanya hivi sababu hii si television ya kibiashara kwa hiyo mtu anapo peleka kipindi kule ni wazi lazima ajue hawako kibishara zaidi wala hawako pale kumpa mteja acho hitaji.
BSS ni show nzuri sana na inapendwa na watanzania wengi kwakweli watakwazika kama hayo yaliyo zikuta show zingine haya hikuti BSS. Lakini mbona mwaka huu zile shamrashara za kuanza bongo star search hatuzioni?
Ni matumaini yangu wewe na timu yako mkishirikiana na TBC1 mmejipanga kuhakikisha hamto wakwazi watazamaji na wala kuwapoteza.