Madansa wa Akudo Sound

Mnhenwa Ndege

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2007
Posts
242
Reaction score
21

Juzi wazee wa masauti walipiga burudani ya kufa mtu huko Ukonga Banana katika ukumbi wa "Wenge Garden Hall". Mcheza shoo wa Akudo akijituma vilivyo ili akonge nyoyo za mashabiki wake.



Ilibidi shabiki mmoja kwakukunwa na mcheza shoo huyu amtuze ipasavyo.



Kwa picha zaidi nenda; Pwani Raha
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…