Madaraja ya kipato kwa Watanzania: Je, unajua daraja lako?

Madaraja ya kipato kwa Watanzania: Je, unajua daraja lako?

Fredwash

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2009
Posts
1,400
Reaction score
2,010
Katika mgawanyo wa vipato duniani kuna madaraja yanayoainisha makundi tofauti kutegemea na vipato vyao

Kwa marekani hapa chini ni mchanganuo wa hayo madaraja kwa mwaka (Annually income classes) na makampuni huko US wanatumia sana haya madaraja kujua purchasing power za watu

Daraja la chini (lower class): Kaya zilizo na mapato ya chini ya $30,000

Tabaka la kati la chini (lower middle class): Kaya zilizo na mapato kati ya $30,001 na $58,020

Tabaka la kati (middle class): Kaya zilizo na mapato kati ya $58,021 na $94,000

Tabaka la kati la juu🙁 upper middle class) Kaya zilizo na mapato kati ya $94,001 na $153,000

Tabaka la juu (upper class): Kaya zilizo na mapato zaidi ya $153,000

Nachokiona lower class ya US kwa tanzania ni mtu mwenye kipato kizuri tu ingawa sijui nimweke kundi la kati au la juu

Naomba wabobez watupe mchanganuo kwa TZ anayepokea around 50m kwa mwaka (roughly 4m+ kwa mwezi) huyu ni lower ama middle
 
Mtu wa kipato cha chini USA ni mtu mwenye maisha maisha mazuri sana tanzania kwasababu kipato chake kwa mwaka ni milioni 70 (30000x2300/12)=6.7m yani maskini wa usa kwa bongo ana mshahara wa milioni 6.7m kila mwezi.
 
Katika mgawanyo wa vipato duniani kuna madaraja yanayoainisha makundi tofauti kutegemea na vipato vyao

Kwa marekani hapa chini ni mchanganuo wa hayo madaraja kwa mwaka (Annually income classes) na makampuni huko US wanatumia sana haya madaraja kujua purchasing power za watu

Daraja la chini (lower class): Kaya zilizo na mapato ya chini ya $30,000

Tabaka la kati la chini (lower middle class): Kaya zilizo na mapato kati ya $30,001 na $58,020

Tabaka la kati (middle class): Kaya zilizo na mapato kati ya $58,021 na $94,000

Tabaka la kati la juu🙁 upper middle class) Kaya zilizo na mapato kati ya $94,001 na $153,000

Tabaka la juu (upper class): Kaya zilizo na mapato zaidi ya $153,000

Nachokiona lower class ya US kwa tanzania ni mtu mwenye kipato kizuri tu ingawa sijui nimweke kundi la kati au la juu

Naomba wabobez watupe mchanganuo kwa TZ anayepokea around 50m kwa mwaka( roughly 4m+ kwa mwezi) huyu ni lower ama middle
basi majority ya watanzania ni lower class maana mishara yao si juu ya dollar 400 ambapo kwa mwaka ni dollar 4800 noma sana. mkuu hizo class umezitengeneza wewe au ndo official kabisa maana sidhani kama kwa malipo na mishahra ya tz $30,000 kwa mwaka ambapo ni kama milioni sabini , ambayo ni mshahara wa zaidi ya milioni tano utasema ni mtu mwenye kipato kidogo kwa tanzania.
 
Mtu wa kipato cha chini USA ni mtu mwenye maisha maisha mazuri sana tanzania kwasababu kipato chake kwa mwaka ni milioni 70 (30000x2300/12)=6.7m yani maskini wa usa kwa bongo ana mshahara wa milioni 6.7m kila mwezi.
US wao iko hivi: $14,580 for an individual, $19,720 for a family of two, $24,860 for a family of three, and $30,000 for a family of four.
Hivyo, hizo class za jamaa haziwezi kuapply kwa Tanzania. Gharama za maisha kwa Tanzania ni cheap sana. Kwa kipato cha dollar $30,000 kwa mwaka yani kwa tanzania wewe ni mtu mzito. Yani unavuta karibu nusu ya mshahara wa mbunge halafu wakuite low income earner.
 
US wao iko hivi: $14,580 for an individual, $19,720 for a family of two, $24,860 for a family of three, and $30,000 for a family of four.
Hivyo, hizo class za jamaa haziwezi kuapply kwa Tanzania. Gharama za maisha kwa Tanzania ni cheap sana. Kwa kipato cha dollar $30,000 kwa mwaka yani kwa tanzania wewe ni mtu mzito. Yani unavuta karibu nusu ya mshahara wa mbunge halafu wakuite low income earner.
Kumbe?Basi Mwigulu Nchemba aache roho mbaya.Mara nyingine akitaka kutufukuza tuondoke Tanzania asituamrishe tuhamie Burundi.Atuamrishe tuhamie USA.
 
Kumbe?Basi Mwigulu Nchemba aache roho mbaya.Mara nyingine akitaka kutufukuza tuondoke Tanzania asituamrishe tuhamie Burundi.Atuamrishe tuhamie USA.
Mkuu kama hicho kipato ni cha mtu wa income ya chini huenda ukihamia huko maisha yatakuwa magumu hata kumiliki nyumba inakuwa kipengele unajikuta uko kwa mtaa.
The good thing ukipiga ukapost picha uko mtaani tu, wana wanasema jamaa anakula maisha. Miaka inapita kurudi hurudi maana wana wanahisi umetoboa kumbe hujatoboa so unaona noma kurudi.
 
Katika mgawanyo wa vipato duniani kuna madaraja yanayoainisha makundi tofauti kutegemea na vipato vyao

Kwa marekani hapa chini ni mchanganuo wa hayo madaraja kwa mwaka (Annually income classes) na makampuni huko US wanatumia sana haya madaraja kujua purchasing power za watu

Daraja la chini (lower class): Kaya zilizo na mapato ya chini ya $30,000

Tabaka la kati la chini (lower middle class): Kaya zilizo na mapato kati ya $30,001 na $58,020

Tabaka la kati (middle class): Kaya zilizo na mapato kati ya $58,021 na $94,000

Tabaka la kati la juu🙁 upper middle class) Kaya zilizo na mapato kati ya $94,001 na $153,000

Tabaka la juu (upper class): Kaya zilizo na mapato zaidi ya $153,000

Nachokiona lower class ya US kwa tanzania ni mtu mwenye kipato kizuri tu ingawa sijui nimweke kundi la kati au la juu

Naomba wabobez watupe mchanganuo kwa TZ anayepokea around 50m kwa mwaka (roughly 4m+ kwa mwezi) huyu ni lower ama middle
Sisi kipimo chetu ni line poverty ya IMF ambayo inasema kama mtu kwa siku matumizi yake hayafiki 1.05USD basi ni masikini. Akivuka apo ni tajiri, mi naona tubaki hapo.
 
Mtu wa kipato cha chini USA ni mtu mwenye maisha maisha mazuri sana tanzania kwasababu kipato chake kwa mwaka ni milioni 70 (30000x2300/12)=6.7m yani maskini wa usa kwa bongo ana mshahara wa milioni 6.7m kila mwezi.
Dah hili gap sio la kitoto.. 6m mshahara wa baadhi ya wakurugebz wa kampuni na maofisa wakubwa tu serikalini
 
basi majority ya watanzania ni lower class maana mishara yao si juu ya dollar 400 ambapo kwa mwaka ni dollar 4800 noma sana. mkuu hizo class umezitengeneza wewe au ndo official kabisa maana sidhani kama kwa malipo na mishahra ya tz $30,000 kwa mwaka ambapo ni kama milioni sabini , ambayo ni mshahara wa zaidi ya milioni tano utasema ni mtu mwenye kipato kidogo kwa tanzania.

Kaka hizo class ni za USA sasa nilitaka kujua huku kwetu Bongo class zetu zikoje mtu wa middle class range yake ikoje.. maana hatuwez kutumia za USa wakat uchumi unatofautiana .. income class ziko localized

Tuwekee basi mchanganuo wa kibongo .. nani tumuite lower nani tumuite middle na nani tumuite kontawa mwenyewe upper je anaepokea 5m tumuweke
Middle au upper
 
Mkuu kama hicho kipato ni cha mtu wa income ya chini huenda ukihamia huko maisha yatakuwa magumu hata kumiliki nyumba inakuwa kipengele unajikuta uko kwa mtaa.
The good thing ukipiga ukapost picha uko mtaani tu, wana wanasema jamaa anakula maisha. Miaka inapita kurudi hurudi maana wana wanahisi umetoboa kumbe hujatoboa so unaona noma kurudi.

Sio tu kuona noma kurudi .. hata kupata nauli mtihan.. maana wanaona umekaa miaka kibao wanajua unakula maisha kumbe unajikuta uko US 10 yrs na uliemuacha bongo 10 yrs ki uchumi kakupiga gap.. ukiangalia unapiga kaz zaid ya 3 ila mwisho wa siku hata kusave dola 100 huwez..

Hapo hujapata mizinga ya ndugu na jamaa Bongo. Ndo maana watu hata kupiga simu hawatak maana anajua lawama tu

Kuna jamaa yangu anasema akijibana sana matumiz ya home chakula na mengineyo (groceries) inakata dola 700 hadi 800.. kwa mwezi ..
 
Sio tu kuona noma kurudi .. hata kupata nauli mtihan.. maana wanaona umekaa miaka kibao wanajua unakula maisha kumbe unajikuta uko US 10 yrs na uliemuacha bongo 10 yrs ki uchumi kakupiga gap.. ukiangalia unapiga kaz zaid ya 3 ila mwisho wa siku hata kusave dola 100 huwez..

Hapo hujapata mizinga ya ndugu na jamaa Bongo. Ndo maana watu hata kupiga simu hawatak maana anajua lawama tu

Kuna jamaa yangu anasema akijibana sana matumiz ya home chakula na mengineyo (groceries) inakata dola 700 hadi 800.. kwa mwezi ..
Na hili ndilo linawafanya watu wasirudi halafu huku lawama kibao kuwa jamaa kasahau home kumbe maisha magumu na akipiga simu mnatangaza njaa so hata kupiga simu anaona noma.
 
Na hili ndilo linawafanya watu wasirudi halafu huku lawama kibao kuwa jamaa kasahau home kumbe maisha magumu na akipiga simu mnatangaza njaa so hata kupiga simu anaona noma.
😂😂😂 sie hatuelewi tunachojua uko Marekani.. so lazima
Mizinga uipate... kumbe jamaa anashindia na kulalia burger na soda
Kule ndo maana magonjwa ya ajabu ajabu mengi maana ukisema ule kwa kubalance mlo .. sijui mboga za majan matunda daily.. pesa itakutoka so inabid ukomae na junk foods tu..

Wakat bongo mama mbogamboga asubuh anapitisha mboga za jero..
 
Back
Top Bottom