Madaraka allowance kuanza kutolewa kwa wakuu wa shule kuanzia 2015

BA' NICK

Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
34
Reaction score
0
Kumekuwa na tetesi kuwa kuanzia mwaka 2015 serikali itatoa posho ya madaraka allowance kwa walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu elimu kata endapo watakuwa na elimu stahiki.

Yaani Mwl. Mkuu awe na Stashahada ya elimu huku MEK na Wakuu waa shule za Sekondari wakitakiwa wawe na Shahada. Mwenye taarifa zaidi atusaidie.​
 
Ni kweli waraka upo:

HoS & Principal=250,000/=

HT (degree holder) & MEK= 200,000/=
Nb: waraka wa serikali si ruksa kuwekwa hadharani

Nakupa taarifa za awali
 
Kweli?? Ila bado nyaraka hazijafika kituoni! Coz vyeo vingine vilikuwa ni sifa za kijinga
 
intonjanda wewe ni mwenyeji wa huo mkoa?

Mi mwenyeji wa mkoa huo, nimezaliwa Mwanza road nimekulia mitaa ya Manzese jilani na Ukombozi s/m...mpira nimecheza viwanja vya ukombozi timu ni Sifa United...

Waraka upo nilisoma haraka haraka, masahihisho kidogo:
HT awe na stashahada=200,000/=

MEK awe na shahada=250,000/=

Kwa HoS na Principle ni kama nilivyowawekea mwanzo.

Naomba nisiombwe waraka....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…