Uchaguzi 2020 Madaraka na Wajibu wa Mbunge kwa mujibu wa Katiba

Uchaguzi 2020 Madaraka na Wajibu wa Mbunge kwa mujibu wa Katiba

Rahma Salum

Member
Joined
Sep 7, 2020
Posts
30
Reaction score
59
Katiba ya Tanzania ya mwaka 1997, inaeleza majukumu ya mbunge kwa jimbo lake kama ifuatavyo:-

(a) Kumuuliza Waziri yeyote swali lolote kuhusu mambo ya umma katika Jamhuri ya Muungano ambayo yako katika wajibu wake.

(b) Kujadili utekelezaji wa kila Wizara wakati wa Mkutano wa Bunge wa kila mwaka wa Bajeti.

(c) Kujadili na kuidhinisha Mpango wowote wa muda mrefu au wa muda mfupi unaokusudiwa kutekelezwa katika Jamhuri ya Muungano na kutunga Sheria ya kusimamia utekelezaji wa mpango huo.

(d) Kutunga Sheria pale ambapo utekelezaji unahitaji kuwapo Sheria.

(e) Kujadili na kuridhia mikataba yote inayohusu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa.
 
Katiba ya Tanzania ya mwaka 1997, inaeleza majukumu ya mbunge kwa jimbo lake kama ifuatavyo:-

(a) Kumuuliza Waziri yeyote swali lolote kuhusu mambo ya umma katika Jamhuri ya Muungano ambayo yako katika wajibu wake.

(b) Kujadili utekelezaji wa kila Wizara wakati wa Mkutano wa Bunge wa kila mwaka wa Bajeti.

(c) Kujadili na kuidhinisha Mpango wowote wa muda mrefu au wa muda mfupi unaokusudiwa kutekelezwa katika Jamhuri ya Muungano na kutunga Sheria ya kusimamia utekelezaji wa mpango huo.

(d) Kutunga Sheria pale ambapo utekelezaji unahitaji kuwapo Sheria.

(e) Kujadili na kuridhia mikataba yote inayohusu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ambayo kwa masharti yake inahitaji kuridhiwa.
Watu wanakula pesa ndefu kwa kazi hizi tu ambazo zinaweza kuchomekwa kwa baadhi ya viongozi wa ngazi mbali wakazifanya ?

Nikija kuwa raisi nafuta wabunge wote,wanakula pesa tu.

Kazi ya mbunge zitagawanywa kwa wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,madiwani,wenye viti na wengineo.
 
Back
Top Bottom