G Gabriel Jimmy Member Joined Dec 10, 2012 Posts 23 Reaction score 3 Dec 22, 2012 #1 Jamani wana jf katika katiba mpya mnashauri nni kuhusiana na madaraka ya Rais!!!!!????
H Hamaizuh Member Joined May 30, 2012 Posts 17 Reaction score 2 Dec 22, 2012 #2 Kwa kweli, Rais abaki na madaraka yake tu kwani hakuna waaminifu na wanaofuata Integrity katika kuifanya hiyo kazi kama endapo Rais atapunguziwa hayo madaraka yake! According to me and not necessary to be taken!
Kwa kweli, Rais abaki na madaraka yake tu kwani hakuna waaminifu na wanaofuata Integrity katika kuifanya hiyo kazi kama endapo Rais atapunguziwa hayo madaraka yake! According to me and not necessary to be taken!