Madaraka ya raisi yapunguzwe

Madaraka ya raisi yapunguzwe

lupasulwisye

Senior Member
Joined
Sep 5, 2012
Posts
104
Reaction score
21
Katiba itamuke wazi kuwe na taasisi maalumu za kuteua jaji mkuu na majaji wa mahakama kuu,kueua makatibu wakuu wa wizara,mkuu wa majeshi,polisi,magereza,wasiteuliwe na raisi,vilevile wenyeviti wa bodi za mashirika ya umma wasiteuliwe na raisi.hii itasaidia watumishi kufanya kazi zao bila kupendelea chama kitakachoshika madaraka ya nchi hii.
 
Back
Top Bottom