Madaraka ya wenyeviti wa bodi kwenye mashirika/taasisi za umma

Madaraka ya wenyeviti wa bodi kwenye mashirika/taasisi za umma

Mingendeu

Senior Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
115
Reaction score
237
Habarini wakuu,

Naomba kufahamu kuhusu madaraka ya wenyeviti wa bodi kwenye mashirika/taasisi za umma hasa kwenye ajira.

Je, mwenyekiti wa bodi anayo mamlaka ya kuajiri au kufanya recommendation ili mtu aajiriwe kwenye taasisi yake bila tangazo la ajira?

Kuna ubishani tu kijiweni kwetu, nimekuja hapa kupata ufafanuzi zaidi.
 
Habarini wakuu,

Naomba kufahamu kuhusu madaraka ya wenyeviti wa bodi kwenye mashirika/taasisi za umma hasa kwenye ajira.

Je, mwenyekiti wa bodi anayo mamlaka ya kuajiri au kufanya recommendation ili mtu aajiriwe kwenye taasisi yake bila tangazo la ajira?

Kuna ubishani tu kijiweni kwetu, nimekuja hapa kupata ufafanuzi zaidi.
Ili ikusaidie nn?
 
Bodi ndio bosi wa taasisi usika kwahyo mwenyekiti wa bodi ni boss wa mkurugenzi. Reccomendation yoyote ya mwenyekiti wa bodi ni maagizo kwa mkurugenzi
 
Bodi ndio bosi wa taasisi usika kwahyo mwenyekiti wa bodi ni boss wa mkurugenzi. Reccomendation yoyote ya mwenyekiti wa bodi ni maagizo kwa mkurugenzi
Uko sahihi Chifu, Bodi ni kama Madiwani kwenye Halmashauri na Mwenyekiti wa Bodi ni kama Meya au Mwenyekiti wa Halmashauri
 
Bodi ndio bosi wa taasisi usika kwahyo mwenyekiti wa bodi ni boss wa mkurugenzi. Reccomendation yoyote ya mwenyekiti wa bodi ni maagizo kwa mkurugenzi
Shukrani kwa ufafanuzi. Nimekuelewa sana
 
Back
Top Bottom