Madaraka yanapita na Binadamu tunapita hapa Duniani

Madaraka yanapita na Binadamu tunapita hapa Duniani

F4B

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2022
Posts
336
Reaction score
429
Kichwa Cha habari kinajieleza hapo juu, ila nimeandika kwa msukumo fulani kutoka awamu ya tano ya uongozi katika nchi yetu.

Wakati wa awamu ile walitokea watu watukutu ambao hawakujali haki za wenzao na Kuna wakati waliwafanyia binadamu wenzao vitendo unaweza kuhisi sio binadamu wenzao.

Kifupi walikuwa juu ya Sheria,mfano Makonda na Sabaya.

Wapo wakuu wa mikoa waliotenda mema kama Mtaka hakuna mtu anae msema kwa mabaya daima anasemwa kwa mazuri.

Tunapokuwa na madaraka tutende kwa haki ili dunia itukumbuke kwa mema sio kwa mabaya na tukumbuke madaraka yanapita.

Nimeandika Uzi huu kureflect kinachoendelea kwenye Kesi ya Mhe,Mbowe na wenzake mara mashahidi kafanya hivi mara hatutampata mwingine mashahidi wako almost 20 ameugua mmoja hatuwezi kuwapata wengine kesho? Hadi tuahilishe Kesi huku watu wanateseka mahabusu? Is this fair? .

Mlio Kwenye mamlaka na madaraka mkumbuke dunia ni tambala bovu na hakuna aijuaye kesho yake.Tutende kwa haki hapa Duniani tunapita tu tusiwatendee wenzetu yasiyostahili.
 
Asante moderator kwa kurekebisha heading
 
Yawezekana hao watesi wamefanywa na Mungu kuwa mifano tu ili wengine wajifunze kutumia hekima,akili na busara(Kama wanazo) wapatapo madaraka.
 
  • Thanks
Reactions: F4B
Yaweza kuwa kweli mkuu, moisemusajiografii hivi nani alifikili Makonda anaweza kuwa mtu wa kujificha ficha? vile
 
Yaweza kuwa kweli mkuu, moisemusajiografii hivi nani alifikili Makonda anaweza kuwa mtu wa kujificha ficha? vile
Kujisahau nao ni ugonjwa.Kupenda sifa kukafuata.Uzembe,kutojiamini na kubweteka kukawa pigo lao la mwisho.
 
Uzi huu mbona haunekani
 
makonda ni spy& underground cover, chini ya tisssi......na ukishakuwa kwenye hiki kitengo ,una guarantee ya kulindwa,in case ikatokea any un expected incoming !!! wanaojua hiki kitengo watanielewa!!
 
makonda ni spy& underground cover, chini ya tisssi......na ukishakuwa kwenye hiki kitengo ,una guarantee ya kulindwa,in case ikatokea any un expected incoming !!! wanaojua hiki kitengo watanielewa!!
Kwa hiyo ana kinga ya kutoshtakiwa milele hizo tuhuma zake za jinai?
 
makonda ni spy& underground cover, chini ya tisssi......na ukishakuwa kwenye hiki kitengo ,una guarantee ya kulindwa,in case ikatokea any un expected incoming !!! wanaojua hiki kitengo watanielewa!!
Kwa hiyo wao mkuu wanapaswa kufanya chochote hata kwa kuvunja Sheria na haki za binadamu? kama ni hivyo mbona ajifiche.Mwisho haiondoi Ukweli kuwa kwa sasa anaishi kwa aibu
 
makonda ni spy& underground cover, chini ya tisssi......na ukishakuwa kwenye hiki kitengo ,una guarantee ya kulindwa,in case ikatokea any un expected incoming !!! wanaojua hiki kitengo watanielewa!!
Kwa hiyo wao mkuu wanapaswa kufanya chochote hata kwa kuvunja Sheria na haki za binadamu? kama ni hivyo mbona ajifiche.Mwisho haiondoi Ukweli kuwa kwa sasa anaishi kwa aibu
 
Walilea madaraka kutokana na mfumo mbovu wa kikatiba na nchi kwa ujumla!!yale sio makosa yao bali ya nchi yetu kukumbatia katiba mbovu iliopo!!ujinga ule tuliulea sisi wenyewe kwa sheria zetu!!na ni uthibitisho kuwa hatukupata viongozi wazalendo hapo kabla!!
 
Yawezekana hao watesi wamefanywa na Mungu kuwa mifano tu ili wengine wajifunze kutumia hekima,akili na busara(Kama wanazo) wapatapo madaraka.
Kwa hiyo huyo mungu wako ndio ana wafanya watu watende dhambi. mungu wako ni kiboko ndugu yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom