Madhara ya kitu inategemea na anayeyatafsiri,
Wewe unaweza ukaona Mimba kwako ni athari, lakini mwenzako akaifurahia akaona ni baraka,
Wewe unaweza ukamuona teja anasinzia ukamchukulia amedhurika lakini yeye akajiona ndio anajitibu na kwa upande wake akaona kuacha kutumia madawa ni madhara makubwa sana cuz starehe yake hatoipata tena,...
BACK TO THE TOPIC
Sioni tofauti kati ya Madawa na Mapenzi cuz zote zina addiction, Zote zinaweza sababisha kifo,
kwa upande wangu naona zote sawa tu