Madawa ya kulevya na ngono zembe; kipi hatari zaidi?

kaburi jeusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2017
Posts
258
Reaction score
145
Iv wana JF kati ya madawa ya kulevya na ngono zembe IPi inachukua nafasi ya kwanza kuathiri jamii?
 
Madhara ya kitu inategemea na anayeyatafsiri,
Wewe unaweza ukaona Mimba kwako ni athari, lakini mwenzako akaifurahia akaona ni baraka,
Wewe unaweza ukamuona teja anasinzia ukamchukulia amedhurika lakini yeye akajiona ndio anajitibu na kwa upande wake akaona kuacha kutumia madawa ni madhara makubwa sana cuz starehe yake hatoipata tena,...
BACK TO THE TOPIC
Sioni tofauti kati ya Madawa na Mapenzi cuz zote zina addiction, Zote zinaweza sababisha kifo,
kwa upande wangu naona zote sawa tu
 
Mkuu hivi kweli mapenzi ni yakufananisha na madawa ya kulevya? Una umri gani? Maana mtu anaefanya ngono zembe ana akiri timamu za kutafta pesa ya kuhonga je huyo teja kwanza mchafu pili ubongo wake hauwazi kingine tofauti na kujidunga sindano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…