Madawa ya kulevya yalivyo mpoteza matembo Suz perez

Ndio maana naishauri Serikali yetu ipeleke mswaada Bungeni wauza madawa adhabu yao iwe KIFO.
Wanyongwe hadi wafe....au waapigwe risasi za vichwa.

Wauzaji wa madwa ya Kulevya ni zaidi ya Majambazi.
 
Eti Ridhiwani Kikwete katika pilikapilika zako za kuangamiza jamii hapa Tanzania na maduani, hujawahi kukutana na huyu bi dada kumpa unga wa kubugia?
 
Siaiei wakiona hawawezi kukudhibiti 'watakutengeneza'!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…