Madawa yametuharibia hiki kipaji

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Your browser is not able to display this video.


Ukims
Your browser is not able to display this video.

ikiliza huyu Rashidi utagundua ni mtu mwenye kipaji kikubwa na halisi. Bahati mbaya tu madawa ya kulevya yamekatisha mafanikio ya kipaji chake
 
Umaarufu kazi sana kuishi nao na kuendana na mabadiliko
 
nay wa mitego kuna ngoma aliimbaga "umarekani mwingi mwisho mnakula unga"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…