Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Go..go..go..Tanzania, wewe ndio dira ya East and Central Africa.Towards industrial economy, Mo Dewji under METL Group comes with Mo electro products n TAFE farm and power equipments made in Tanzania for all East Africans.
https://www.facebook.com/
Cha ajabu hii thread hamna ana-comment! Hii maneno ni noma. Naskia naskia Rostam anatangaza massive investment soon baada ya kujitoa Vodacom! 😅Go..go..go..Tanzania, wewe ndio dira ya East and Central Africa.
Hii Sera ya viwanda ya Magufuli itafanikiwa sana, kama kuna eneo ambalo ninamvulia kofia Magufuli ni hili la viwanda, litakua na athari kubwa chanya katika uchumi wa Tanzania.Cha ajabu hii thread hamna ana-comment! His maneno ni noma. Naskia naskia Rostam anatangaza massive investment soon baada ya kujitoa Vodacom! [emoji28]
Mi ninachopenda sera yake ni sio blahblah tu, bali unaona anavyo-invest pia kwenye miundombinu ya ku-support sera yake.Hii Sera ya viwanda ya Magufuli itafanikiwa sana, kama kuna eneo ambalo ninamvulia kofia Magufuli ni hili la viwanda, litakua na athari kubwa chanya katika uchumi wa Tanzania.
Hiyo ni kweli, pale alipoiambia mifuko ya mifuko ya jamii kama NSSF, PPF, Kwamba waache kuwekeza katika kujenga majengo ya kupangisha mijini, badala yake hizo peza wawekeze katika ujenzi wa viwanda, ndipo nilipogundua huyu jamaa kichwa yake sio ya karine hii, anafikiria mbali sana.Mi ninachopenda sera yake ni sio blahblah tu, bali unaona anavyo-invest pia kwenye miundombinu ya ku-support sera yake.
Ilizuka mtindo wa kujenga malls ambazo obvious shelfs zake zingejaa bidhaa za nje!Hiyo ni kweli, pale alipoiambia mifuko ya mifuko ya jamii kama NSSF, PPF, Kwamba waache kuwekeza katika kujenga majengo ya kupangisha mijini, badala yake hizo peza wawekeze katika ujenzi wa viwanda, ndipo nilipogundua huyu jamaa kichwa yake sio ya karine hii, anafikiria mbali sana.
Cha ajabu hii thread hamna ana-comment! Hii maneno ni noma. Naskia naskia Rostam anatangaza massive investment soon baada ya kujitoa Vodacom! [emoji28]
Aside Brookside milk what does Kenya produce? I mean electronic appliances!Hapa Viwonder tu.
Vimetengezwa china vimepigwa label ya Mo.Towards industrial economy, Mo Dewji under METL Group comes with Mo electro products n TAFE farm and power equipments made in Tanzania for all East Africans.
https://www.facebook.com/
Ofcourse parts come from overseas but assembled in Tanzania. A step to the right direction. Plenty of raw materials in the country that manufacture those parts. With the mining industry growth no more than later some parts will be manufactured in the country!Vimetengezwa china vimepigwa label ya Mo.