PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
1.Kazi yake MolaMadee aache muziki. Jamaa hajawahi toa ngoma hata moja ikahit, zote ni kama amehack tu, kama hii tekno tu ndo anasikika huyo mwingine sijui style yake alitoa wapi.
Ww wivu utakuuaKama ngoma karekodi wasafi basi hamna kitu hapo, lizer beats zake nyepesi sana ilibidi tekno mwenyewe afyatue beat ya kibabe
Kama yale ya davido na diamond usikute diamond kamshauri hivyo ili amuharibie tu mwenziedah!! nyimbo mbayaa, video hvo vikatuni navyo cjui nani kamshauri naona amemuingiza chaka tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee! km ni hvyo hawajamfanyia poa kbs mwanastaKama yale ya davido na diamond usikute diamond kamshauri hivyo ili amuharibie tu mwenzie
Ohoooo!!!Kama yale ya davido na diamond usikute diamond kamshauri hivyo ili amuharibie tu mwenzie
Madee aache muziki. Jamaa hajawahi toa ngoma hata moja ikahit, zote ni kama amehack tu, kama hii tekno tu ndo anasikika huyo mwingine sijui style yake alitoa wapi.
Mtu anaweza shindwa hata kugegeda akasingiziwa Diamond ndo kasababishaKama yale ya davido na diamond usikute diamond kamshauri hivyo ili amuharibie tu mwenzie