Madega ashtushwa na mwekezaji GSM kuwa Rais wa Yanga

Ukimsoma mtanzania hasa ktk siasa na michezo ndo utajua kwann,ccm wanatawala na watatawala daima
 
Billion 20 za Mo zipo account ipi..?
Babra kawekwa na nani..?

Mtaichukia GSM hadi mpate ugumba
 
Billion 20 za Mo zipo account ipi..?
Babra kawekwa na nani..?

Mtaichukia GSM hadi mpate ugumba
Badala ya kujibu hoja za Madege unalia na Babra, Madege ameongea kiswahilli fasaha jibu hoja zake wewe zungu pori
 
Billion 20 za Mo zipo account ipi..?
Babra kawekwa na nani..?

Mtaichukia GSM hadi mpate ugumba
Kwani wale 51% pesa yao wameweka wapi?
 

Attachments

  • 20220623_152502.jpg
    50.7 KB · Views: 10
Badala ya kujibu hoja za Madege unalia na Babra, Madege ameongea kiswahilli fasaha jibu hoja zake wewe zungu pori
Kasome katiba ya Yanga
Madege na Makolo mnadhan Yanga inaendeshwa kama team ya familia. Babra na Mo wenu juzi tu hapa wametoka kukiri Transformation ya Yanga ni Next Level yafaa kuigwa.
 
Ni kwel,kama ni wazamin hapa kwa GSM yanga wamepata,
Hawa jamaa sio siri uwepo wao yanga utafanya yanga iendelee kusumbua hata msimu ujao
Maana kwa inshu za pesa wao wanamwaga tu na kupata ushindi wanatumia kila aina ya mbinu pamoja na kununua
 
Kasome katiba ya Yanga
Madege na Makolo mnadhan Yanga inaendeshwa kama team ya familia. Babra na Mo wenu juzi tu hapa wametoka kukiri Transformation ya Yanga ni Next Level yafaa kuigwa.
Mwenyekiti mstaafu Madege ameleta hoja wewe unaleta porojo za kuwataja wakina Babra, jibu hoja za Madege acha kelele au unafikiri Madege ni kilomoni?
 
Ni kwel,kama ni wazamin hapa kwa GSM yanga wamepata,
Hawa jamaa sio siri uwepo wao yanga utafanya yanga iendelee kusumbua hata msimu ujao
Maana kwa inshu za pesa wao wanamwaga tu na kupata ushindi wanatumia kila aina ya mbinu pamoja na kununua
Wakanunue na CAF huko
 
Ushasema mwenyekit mstafu, hana akili kama Makolo msivyo na akili. Kasomeni katiba ya Yanga... Narudia tena maboss zenu makolo babra na Mo juzi kati wamesema hadharani Yanga imefanya Transformation nzuri ni vzuri ikaigwa
Mwenyekiti mstaafu Madege ameleta hoja wewe unaleta porojo za kuwataja wakina Babra, jibu hoja za Madege acha kelele au unafikiri Madege ni kilomoni?
 
Siku chache baada ya madega kuiongoza yanga,akajenga shule,akawa na pesa ya kugombea ubunge
 
Ushasema mwenyekit mstafu, hana akili kama Makolo msivyo na akili. Kasomeni katiba ya Yanga... Narudia tena maboss zenu makolo babra na Mo juzi kati wamesema hadharani Yanga imefanya Transformation nzuri ni vzuri ikaigwa
Mwenyekiti mstaafu wa Yanga sio ccm, vile vile ni mwana chama hai wa Yanga sio ACT, jibu hoja zake mkimaliza ndio lete hoja za MO hapo hakuna kichaka cha kujificha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…