Ukijibiwa hapa nishtue mkuuBil 20 za mwamedi ziko wapi?
Madega nae ni Mnafiki tu kwani anaona hajateuliwa katika Kamati zozote za Yanga SC na hana Madili hivyo Kinamuuma.Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Imani Madega kuhusiana na Injinia Hersi kuwania Urais wa Yangaβ¦.
Kwa sababu Yanga wengi ni mazuzu, watamshambulia Madega. Madega ana hoja nzito sana.
View attachment 2270527
Dah !!Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Imani Madega kuhusiana na Injinia Hersi kuwania Urais wa Yangaβ¦.
Kwa sababu Yanga wengi ni mazuzu, watamshambulia Madega. Madega ana hoja nzito sana.
View attachment 2270527
Madega ni msomiDah !!
Kagombee wewe timu ya wananchi hioHili alilisema kazumari akaonekana hater