Madeleka: 'Afande' atakamatwa kama hatofika Mahakamani Septemba 5, 2024

Madeleka: 'Afande' atakamatwa kama hatofika Mahakamani Septemba 5, 2024

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imepanga Septemba 5, 2024 kutoa hati ya ukamatwaji kwa mtu anayetambulika kama Afande, Fatmah Kigondo anayedaiwa kuratibu tukio la ubakwaji na ulawiti wa Binti wa Yombo Dar es Salaam endapo kama hatofika mahakamani.

Hatua hiyo inakuja baada ya Mlalamikaji ambaye pia ni Wakili Paul Kisabo kumfungulia kesi namba 23627 ya mwaka 2024 Afande Kigondo ambapo kesi hiyo ilianza kusikilizwa kuanzia saa 6:30 mchana hadi saa 6:52 mchana mbele ya Hakimu Francis Kishenyi ambapo licha ya Mlalamikiwa kupewa wito hakufika Mahakamani hapo leo kama ilivyotakiwa.

“Baada ya Mahakama kujadili hoja hiyo imekubali kwamba ni kweli wito ulitolewa jana na bahati mbaya ama nzuri kwa sababu anazozijua Afande hajafika Mahakamani hivyo imeomba na kutoa amri kwamba hati ya ukamataji itatolewa Septemba 5, 2024 ikiwa Afande hatofika Mahakamani na kukaidi amri ya Mahakama”
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imepanga Septemba 5, 2024 kutoa hati ya ukamatwaji kwa mtu anayetambulika kama Afande, Fatmah Kigondo anayedaiwa kuratibu tukio la ubakwaji na ulawiti wa Binti wa Yombo Dar es Salaam endapo kama hatofika mahakamani.

Hatua hiyo inakuja baada ya Mlalamikaji ambaye pia ni Wakili Paul Kisabo kumfungulia kesi namba 23627 ya mwaka 2024 Afande Kigondo ambapo kesi hiyo ilianza kusikilizwa kuanzia saa 6:30 mchana hadi saa 6:52 mchana mbele ya Hakimu Francis Kishenyi ambapo licha ya Mlalamikiwa kupewa wito hakufika Mahakamani hapo leo kama ilivyotakiwa.

“Baada ya Mahakama kujadili hoja hiyo imekubali kwamba ni kweli wito ulitolewa jana na bahati mbaya ama nzuri kwa sababu anazozijua Afande hajafika Mahakamani hivyo imeomba na kutoa amri kwamba hati ya ukamataji itatolewa Septemba 5, 2024 ikiwa Afande hatofika Mahakamani na kukaidi amri ya Mahakama”
Huyo mama kila siku anazidi kuchafuka kutokana na suala hili.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imepanga Septemba 5, 2024 kutoa hati ya ukamatwaji kwa mtu anayetambulika kama Afande, Fatmah Kigondo anayedaiwa kuratibu tukio la ubakwaji na ulawiti wa Binti wa Yombo Dar es Salaam endapo kama hatofika mahakamani.

Hatua hiyo inakuja baada ya Mlalamikaji ambaye pia ni Wakili Paul Kisabo kumfungulia kesi namba 23627 ya mwaka 2024 Afande Kigondo ambapo kesi hiyo ilianza kusikilizwa kuanzia saa 6:30 mchana hadi saa 6:52 mchana mbele ya Hakimu Francis Kishenyi ambapo licha ya Mlalamikiwa kupewa wito hakufika Mahakamani hapo leo kama ilivyotakiwa.

“Baada ya Mahakama kujadili hoja hiyo imekubali kwamba ni kweli wito ulitolewa jana na bahati mbaya ama nzuri kwa sababu anazozijua Afande hajafika Mahakamani hivyo imeomba na kutoa amri kwamba hati ya ukamataji itatolewa Septemba 5, 2024 ikiwa Afande hatofika Mahakamani na kukaidi amri ya Mahakama”
NTAKUJQ NQ KVANT YAKO MADELEKA SIKUHIO
 
Kuja kufika hiyo tarehe atakuwa amebakia na kilo 50
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imepanga Septemba 5, 2024 kutoa hati ya ukamatwaji kwa mtu anayetambulika kama Afande, Fatmah Kigondo anayedaiwa kuratibu tukio la ubakwaji na ulawiti wa Binti wa Yombo Dar es Salaam endapo kama hatofika mahakamani.

Hatua hiyo inakuja baada ya Mlalamikaji ambaye pia ni Wakili Paul Kisabo kumfungulia kesi namba 23627 ya mwaka 2024 Afande Kigondo ambapo kesi hiyo ilianza kusikilizwa kuanzia saa 6:30 mchana hadi saa 6:52 mchana mbele ya Hakimu Francis Kishenyi ambapo licha ya Mlalamikiwa kupewa wito hakufika Mahakamani hapo leo kama ilivyotakiwa.

“Baada ya Mahakama kujadili hoja hiyo imekubali kwamba ni kweli wito ulitolewa jana na bahati mbaya ama nzuri kwa sababu anazozijua Afande hajafika Mahakamani hivyo imeomba na kutoa amri kwamba hati ya ukamataji itatolewa Septemba 5, 2024 ikiwa Afande hatofika Mahakamani na kukaidi amri ya Mahakama”
Sema hizi kesi Dpp ana mamlaka ya kuintervene wakati wowote na anaweza kuifuta pia.

Jambo la kunote hapa ni hili

Aidha kuna ushahidi au hakuna unaomuhusu afande (le kamandant)

Dpp ndie aliyeandaa mashtaka baada ya kusoma jalada kutoka polisi kuna sheria inaitwa NPSA kifungu 15 mpaka 20 vimempa mamlaka Dpp ya ku lead investigation / Prosecution lead Investigation/ kama angeona kuna haja ya ushahidi kuongezwa angeagiza kwa wapelelezi mara moja.

Hv kesi ndo inaendelea kule cotini ujue imeisha hiyo. Kula beer broda
 
Sema hizi kesi Dpp ana mamlaka ya kuintervene wakati wowote na anaweza kuifuta pia.

Jambo la kunote hapa ni hili

Aidha kuna ushahidi au hakuna unaomuhusu afande (le kamandant)

Dpp ndie aliyeandaa mashtaka baada ya kusoma jalada kutoka polisi kuna sheria inaitwa NPSA kifungu 15 mpaka 20 vimempa mamlaka Dpp ya ku lead investigation / Prosecution lead Investigation/ kama angeona kuna haja ya ushahidi kuongezwa angeagiza kwa wapelelezi mara moja.

Hv kesi ndo inaendelea kule cotini ujue imeisha hiyo. Kula beer broda

Wao wametumia Section 128 (2) and (4) zinazomuhusu mtu binafsi kufungua malalamiko mbele ya mahakama Kama jina linafanyika.
 
Wao wametumia Section 128 (2) and (4) zinazomuhusu mtu binafsi kufungua malalamiko mbele ya mahakama Kama jina linafanyika.
Inaruhusiwa kisheria unaweza kufanya kama walivyofanya

lkn kwa mujibu wa sheria Dpp amepewa mamlaka kwenye kesi zote za jinai zikiwemo zile zinazofunguliwa kwa private prosecution kama hii ya sasa.

Tu put a long story short Dpp anauweza wa kuingia na kuifuta hiyo kesi wakati wwte
Sheria inamruhusu kufanya hivyo. Nikitulia na kama utasisitiza nitakutumia vifungu mahususi
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imepanga Septemba 5, 2024 kutoa hati ya ukamatwaji kwa mtu anayetambulika kama Afande, Fatmah Kigondo anayedaiwa kuratibu tukio la ubakwaji na ulawiti wa Binti wa Yombo Dar es Salaam endapo kama hatofika mahakamani.

Hatua hiyo inakuja baada ya Mlalamikaji ambaye pia ni Wakili Paul Kisabo kumfungulia kesi namba 23627 ya mwaka 2024 Afande Kigondo ambapo kesi hiyo ilianza kusikilizwa kuanzia saa 6:30 mchana hadi saa 6:52 mchana mbele ya Hakimu Francis Kishenyi ambapo licha ya Mlalamikiwa kupewa wito hakufika Mahakamani hapo leo kama ilivyotakiwa.

“Baada ya Mahakama kujadili hoja hiyo imekubali kwamba ni kweli wito ulitolewa jana na bahati mbaya ama nzuri kwa sababu anazozijua Afande hajafika Mahakamani hivyo imeomba na kutoa amri kwamba hati ya ukamataji itatolewa Septemba 5, 2024 ikiwa Afande hatofika Mahakamani na kukaidi amri ya Mahakama”
Yangu 👀
 
Kwamfano hiyo tarehe asipofika amri ikatolewa na mahakama akamatwe. Huyo afande itabidi akamatwe na askari aliyemzidi cheo. Askari mdogo hawezi kumkamata huyo. Hili disco bado ni zito
 
Usipunguze ukali wa maneno......
sema huvi mtoto wa watu aliomba maji wakamnyima wakaendelea kumfi....r.......wale jamaa ni mashetani wakubwa
Me nadhani wanachi wachukue sheria mkononi wawaue tu,maana wana jeuri sanaa.Jioni hii mmoja kamtishia camera man
 
Kwamfano hiyo tarehe asipofika amri ikatolewa na mahakama akamatwe. Huyo afande itabidi akamatwe na askari aliyemzidi cheo. Askari mdogo hawezi kumkamata huyo. Hili disco bado ni zito
anavuliwa vyeo vyake tu na MP wa polisi alafu anakamatwa ata na private au traffic kabisa kulaleki zake.
 
Inaruhusiwa kisheria unaweza kufanya kama walivyofanya

lkn kwa mujibu wa sheria Dpp amepewa mamlaka kwenye kesi zote za jinai zikiwemo zile zinazofunguliwa kwa private prosecution kama hii ya sasa.

Tu put a long story short Dpp anauweza wa kuingia na kuifuta hiyo kesi wakati wwte
Sheria inamruhusu kufanya hivyo. Nikitulia na kama utasisitiza nitakutumia vifungu mahususi
Na kwanini aifute, unataka kutuvuruga sasa nawwe.
 
Mwmba huyo hapo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240113-222122(1).png
    Screenshot_20240113-222122(1).png
    1.9 MB · Views: 5
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imepanga Septemba 5, 2024 kutoa hati ya ukamatwaji kwa mtu anayetambulika kama Afande, Fatmah Kigondo anayedaiwa kuratibu tukio la ubakwaji na ulawiti wa Binti wa Yombo Dar es Salaam endapo kama hatofika mahakamani.

Hatua hiyo inakuja baada ya Mlalamikaji ambaye pia ni Wakili Paul Kisabo kumfungulia kesi namba 23627 ya mwaka 2024 Afande Kigondo ambapo kesi hiyo ilianza kusikilizwa kuanzia saa 6:30 mchana hadi saa 6:52 mchana mbele ya Hakimu Francis Kishenyi ambapo licha ya Mlalamikiwa kupewa wito hakufika Mahakamani hapo leo kama ilivyotakiwa.

“Baada ya Mahakama kujadili hoja hiyo imekubali kwamba ni kweli wito ulitolewa jana na bahati mbaya ama nzuri kwa sababu anazozijua Afande hajafika Mahakamani hivyo imeomba na kutoa amri kwamba hati ya ukamataji itatolewa Septemba 5, 2024 ikiwa Afande hatofika Mahakamani na kukaidi amri ya Mahakama”
Kuna siku nilisikia jina la mlalamikaji limefichwa na anatambulika kama xy Ili kulinda faragha. Naona wamelitaja Leo. Au sio jina halisi?
 
Back
Top Bottom