Madeleka afungua kesi Mahakama kuu kupinga kupewa uraia wa Tanzania wachezaji watatu wa Singida Black Stars

Madeleka afungua kesi Mahakama kuu kupinga kupewa uraia wa Tanzania wachezaji watatu wa Singida Black Stars

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141
Wakili Peter Madeleka amefungua kesi Mahakama Kuu kanda ya Dodoma akipinga wachezaji 3 wa Black Stars kupewa uraia wa Tanzania, wachezaji hao ni Emanuel Keyekeh (Ghana), Josephat Bada (Ivory Coast)& Mohamed Damaro Camara (Guinea),Kesi hiyo ya kikatiba imepewa namba 2729/2025.

GjLxezkWMAAPYl8.jpg


Pia soma Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
 
Mtetezi wa sheria.. afisa wa mahakama..
 
Kuna watu wanaenda kuharibu Mpira wetu! Ngoja tuone mwisho wake
 
Back
Top Bottom