Mademu bhana

Mademu bhana

Snipes

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
9,165
Reaction score
16,791
kuna demu juzi nimemuomba namba zake, akanambia nipe zako bila hiyana kidume nikatoa namba zangu, alisema akifika nyumbani kwao atanipigia, sasa nahisi kapotea kwa sababu hajanipigia mpaka leo, siku 3 zimepita tayari

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]
 
Ulimpa namba ya gari wewe.


Hahahahahaaaaaa
 
kuna demu juzi nimemuomba namba zake, akanambia nipe zako bila hiyana kidume nikatoa namba zangu, alisema akifika nyumbani kwao atanipigia, sasa nahisi kapotea kwa sababu hajanipigia mpaka leo, siku 3 zimepita tayari

[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]
[emoji23] pole ndugu
 
Back
Top Bottom