kuna demu juzi nimemuomba namba zake, akanambia nipe zako bila hiyana kidume nikatoa namba zangu, alisema akifika nyumbani kwao atanipigia, sasa nahisi kapotea kwa sababu hajanipigia mpaka leo, siku 3 zimepita tayari
kuna demu juzi nimemuomba namba zake, akanambia nipe zako bila hiyana kidume nikatoa namba zangu, alisema akifika nyumbani kwao atanipigia, sasa nahisi kapotea kwa sababu hajanipigia mpaka leo, siku 3 zimepita tayari