Mademu mbona mkipiga picha mnabinua makalio?

Wanawake wanatanguliza makalio kwenye picha, kwa sababu wanafahamu kwamba wanaume wapo interested kwenye hayo maumbo ya makalio.
 
Mwanamke watsap bhana,siyo mtu unatembea na mwanamke njian makalio kama anaendesha magari ya mkoa..flat kabisa
 
pozi la kuvimbisha mashavu je??

Hili pozi huwa silipendi na sijui linamaana gani yaani wanakuwa malimbukeni..kuna wasichana kama 25 kwenye profile zao wametunisha mashavu ila sijui ina maana gani...??
 

Umeambiwa weka picha
 
dont read a book by its cover...."kizuri chajiuza kibaya chajitembeza"..naona mpaka hapo anajitembeza. Mizigo ya type hii watu hawarudii. For your info "closer to the born the sweeter is the meat"
 
sio wote Kibo1 wapo wastaarab ambao hujielewa na huwa kawaida ila kwa hao walio baki usishangae ndipo akili zao zilipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…