Utakua umemuelewa vibaya huyo dada,kwani nauli ya dala dala ndio kitu kukubwa sanaaaa?
ushasema ni mademu ndo wenye tabia hiyo sasa acha kubeba mademu na ubebe wadada/ladies. then hapo utaona tofauti.
Ashaona dezo,
Akikwama next time anakutwangia tu mfadhili wake.
Na kwa jinsi tunavyopenda sifa kwa mademu hata kama hatupiti njia hiyo tutapita tu tukawape lift.
Ushauri wangu,
Pendelea kuwabeba wanaume ambao angalau hata ukipata pancha wanaweza kukusaidia kupiga jeki na kufungua tairi,
Mademu ukipata pancha anashuka na kuomba lift ingine na kukuacha na mkweche wako bila msaada!!
Aslamu aleko jf, ivi kwann mademu ukikutana nae wakati yupo kwenye tight environment na ukampa msaada na yeye haamin km umemsaidia kibinadamu anataka abaki au ubaki na 4n namba 4 further communication! mfano jana nmekuta kundi la wa2 tofauti kituo cha daladala nkabeba hapo watu 6 kwa lengo lakuwasogeza, but mwshon nkabaki na du mmoja, akafika kituo anachoshuka, yaani kama anataka kuniachia kitu fulani au km anasita kushuka!???
Aslamu aleko jf, ivi kwann mademu ukikutana nae wakati yupo kwenye tight environment na ukampa msaada na yeye haamin km umemsaidia kibinadamu anataka abaki au ubaki na 4n namba 4 further communication! mfano jana nmekuta kundi la wa2 tofauti kituo cha daladala nkabeba hapo watu 6 kwa lengo lakuwasogeza, but mwshon nkabaki na du mmoja, akafika kituo anachoshuka, yaani kama anataka kuniachia kitu fulani au km anasita kushuka!???
Ashaona dezo,
Akikwama next time anakutwangia tu mfadhili wake.
Na kwa jinsi tunavyopenda sifa kwa mademu hata kama hatupiti njia hiyo tutapita tu tukawape lift.
Ushauri wangu,
Pendelea kuwabeba wanaume ambao angalau hata ukipata pancha wanaweza kukusaidia kupiga jeki na kufungua tairi,
Mademu ukipata pancha anashuka na kuomba lift ingine na kukuacha na mkweche wako bila msaada!!
ushasema ni mademu ndo wenye tabia hiyo sasa acha kubeba mademu na ubebe wadada/ladies. then hapo utaona tofauti.
Utakua umemuelewa vibaya huyo dada,kwani nauli ya dala dala ndio kitu kukubwa sanaaaa?