Mademu wa kibongo na Kuwashobokea maceleb

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227

JUNRAY BARAWING kutoka UFILIPINO jana alitawazwa na wataalamu wa kile kitabu cha kuweka kumbukumbu za maajabu Duniani cha 'GUINNESS' kwamba kwasasa ndie mtu mfupi kuliko watu wote wanaoishi Duniani kwasasa akiwa na urefu wa inchi 23 yaani cm 58 akiwa amepungua inchi 3 zaidi ya alikuwa akishikilia Record hiyo KAGHENDRA MAGAR kutoka Nepal! JUNRAY ametimiza miaka 18 juzi na kumfanya atambulike kama mtu mzima kwa sasa na ndipo Chief Editor wa 'GUINNESS'.

Hivi karibuni aliota 'ndoto nyevu' na kuthibitisha ni mtu 'mzima'.

Huyu dogo kwa vile ameukwaa umaarufu, akija hapa bongo atangoa mademu kibao, na akibahatika kuwa na hela, itakua balaa zaidi.

"Kazi ni kwenu"


 


kweli........,,,,,,,,Jisachi
 
non compos mentis........................ni afadhali ya wanaojiuza wanaeleweka,kiufupi dada zetu hawako na mapenzi kabisaaaaaaaa yaani ni material oriented tena simple materials...................kutoka na mtu mwenye cheap popularity kama maceleb(actual hawa wa kibongo si maceleb kama wanavyodai) basi wao mtaaani huwaambii kitu......................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…