Kwa nini mademu wa uswazi hawapendi wanaume wa kipato cha mshahara, wanapenda wale wa kipato cha kila siku? Kama madereva na makonda wa daladala vile
Kwa nini mademu wa uswazi hawapendi wanaume wa kipato cha mshahara, wanapenda wale wa kipato cha kila siku? Kama madereva na makonda wa daladala vile
Ndo kina nani hao???
kwa hiyo unajifanya huwajui leo!!!!
Kwa nini mademu wa uswazi hawapendi wanaume wa kipato cha mshahara, wanapenda wale wa kipato cha kila siku? Kama madereva na makonda wa daladala vile
Hao ni wanawake wasiofikiria kuhusu future yao wao wanawaza mambo ya leo tu not tomorrow.
Kwa nini mademu wa uswazi hawapendi wanaume wa kipato cha mshahara, wanapenda wale wa kipato cha kila siku? Kama madereva na makonda wa daladala vile
No matter how much a girl earns, she'll always encourage an extra source of income!
Tatizo lao wanagawa kwa kila mtu