Mademu wa uswazi hawapendi wanaume wa mshahara

kansije

Member
Joined
Sep 16, 2010
Posts
50
Reaction score
10
Kwa nini mademu wa uswazi hawapendi wanaume wa kipato cha mshahara, wanapenda wale wa kipato cha kila siku? Kama madereva na makonda wa daladala vile
 
Kwa nini mademu wa uswazi hawapendi wanaume wa kipato cha mshahara, wanapenda wale wa kipato cha kila siku? Kama madereva na makonda wa daladala vile

Tena huwa hawana complications kabisa, ni very simple ila wakiingia mitaa ya 'wajuu' nao hubadilika kimazingira.
 
mmmmhhhhh kumbe wanaume wanabaguliwa hadi kwa mishahara? interesting news!:A S 13:
 
Kwa nini mademu wa uswazi hawapendi wanaume wa kipato cha mshahara, wanapenda wale wa kipato cha kila siku? Kama madereva na makonda wa daladala vile

Hao ndiyo saizi yao maana wengi wao pia wananuka jasho, hawajui kuosha K**a, pia hamuwezi kukaa na kuongea mambo ya maana sababu ya tofauti ya madaraja
 
Hao ni wanawake wasiofikiria kuhusu future yao wao wanawaza mambo ya leo tu not tomorrow.
 
Kwa nini mademu wa uswazi hawapendi wanaume wa kipato cha mshahara, wanapenda wale wa kipato cha kila siku? Kama madereva na makonda wa daladala vile

Kaka huu utafiti ulikukuta wewe mwenyewe nini?? Wamekukataa wewe wanakimbilia kwa makonda?!!!! Jitahidi kuongeza kupato kaka. Hata hizo za kuingilia internet cafeee jitahidi uzibane
 
huwezi kuchapa mzigo kama makonda na madreva wa dala dala
 
No matter how much a girl earns, she'll always encourage an extra source of income!
 
No matter how much a girl earns, she'll always encourage an extra source of income!

Is this a proven theory? if yes by who? I need the sample please, and the place where the sample was taken
 
jamani sasa hao mademu wa uswazi watakutana wapi na hao jamaa wenye mishahara heavy? Wakati m2 akishapata kazi ya kumlipa vizuri km alikuwa anaishi uswazi anahama.SO HAO WENYE MSHAHARA MDOGO NDO SAIZI YAO
 
Hawahitaji kuwa na wewe muda mrefu sasa watasubiri vipi mshahara... si bora konda akigonga anaacha hela ya dagaa hapohapo!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…