Mademu waliotembea na Usher Raymond wanaula kimaisha

Hawajawahi kumuacha mwanaume salama baada ya kuachwa...
 
mkuu nasikia herpes haiponi je ni kweli maana kuna manzi ni co worker mwenzangu anao na nilionywa na boss kujihadhari nae
 
Just collection mkanda wa jeshi Herpes zoster haimbukizi ila ni activation ya virus baada ya kinga ya mwili kupungua labda unachotaka kukisema ni Herpes Simplex moja ya magonjwa wa Ngono ambayo ni very infectious
 
Ehheeh wanataka umaarufu hao
umaarufu kumpeleka mtu mahakamani,na ikigundulika sio unadhani hata yeye haogopi kulipishwa faini kwa usher ?? Itakuwa kaambukizwa alikobakwa na wengine huko ameupata aliko upata anasingizia usher..ila kama mzee amekula kiboga duh !! !
 
umaarufu kumpeleka mtu mahakamani,na ikigundulika sio unadhani hata yeye haogopi kulipishwa faini kwa usher ?? Itakuwa kaambukizwa alikobakwa na wengine huko ameupata aliko upata anasingizia usher..ila kama mzee amekula kiboga duh !! !
Siamini kama usher katia huyo demu mnene aisee
 
Siamini kama usher katia huyo demu mnene aisee
Quantasiasema nini Lisa broom anatafuta umaarufu kichozi yule lawyer. Kesi za ma star wengi now days ako nazo yeye.
Usher anamsalandia yeye
Kelvin hart ana msalandia yeye
Rob kardashian vile vile yeye.
 
Quantasiasema nini Lisa broom anatafuta umaarufu kichozi yule lawyer. Kesi za ma star wengi now days ako nazo yeye.
Usher anamsalandia yeye
Kelvin hart ana msalandia yeye
Rob kardashian vile vile yeye.
Hahahahahaha kumbee
 
Hahahahahaha kumbee
Tena imeniuma zaidi ya kevin hart. Yule demu FBI walimkomalia kwa nini kavujisha ile video as alikuwa anam blackmail hart atoe mpunga ili yeye asiitoe,hart akagoma demu akairusha and it went viral. Ki lisa broom eti kamchukua kumtetea na tabia ake anawaandikia speech wajieleze mbele ya waandishi wa habari as quantasia did..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…